and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,110
TCAA watakubali ndege ifungwe tairi za TVS HLX toka Bombay? kuwa serious mkuu kwenye masuala ya kitaifa.Peleleza ujiridhishe mkuu.
Hii nchi inakwenda kwa matamko tu.
Mkuu mimi nakushauri bora upande hata basi hiyo bussness plan mbovu,huwezi kuzungushwa utoke Dom-Kigoma-Dar,utafikiri unaenda Harare na kurudi Dar,Ndege gani unatumia masaa 4:10 hapa hapa Tanzania ni zaidi ya South Africa.Wana JF,
Naomba msaada kwa wenye kujua taratibu za ndege/aviation, nilitaka kukwea pipa toka Dodoma to Dar sasa nimechek ATCL naona nauli 165,000/= (one-way) lakini tunatoka Dodoma to Kigoma kisha ndo tunakuja Dar...KWA UTARATIBU ufuatao;
(Reporting time 05:30am) DEPARTURE TIME (Dodoma) 07:30am
ARRIVAL TIME (Dar) 11:40am
NAULI = 165,000/=???
*** Kwa utaratibu huu si bora niweke mafuta kwenye Ki-ESCUDO changu nitoke Dodoma saa 10 alfajiri by saa 3 asubuhi nipo dar? ATC hebu fanyeni namna kutuvutia wana-Dodoma tukwee hiyo Kitu.
Mkuu, ya ukweli hii?!Kilimanjaro, Arusha ATCL imepigwa marufuku, zikienda maeneo hayo atapanda LOWASSA.
Wanaogopa kutumbuka bora walinde vibarua vyao weledi baadaeAisee biashara ya ndege si mchezo, hawa ATCL nionavyo hawatadumu kama wasipobadilisha namna ya biashara yao. Angalau basi wangekuwa na nauli bei nafuu lakini wapi! DOM-DAR 165,000/= wakati Fastjet MWZ-DAR (79,000/=) ukiweka na mzigo 101,000/=. Daah, nndivyo tulivyoshauriwa na wanyarwanda?
Mkuu, ya ukweli hii?!
Duuh hii ni hatari mkuu, jamaa bado anaweweseka na heka heka za election 2015.Mkuu mwaka jana December shirika la ndege ATCL lilifuta safari zote za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Tanga kwa amri kutoka juu kwa sababu mbili kubwa:
1) Kuwapa wakati mgumu wakazi na wageni waliopanga kutembelea maeneo hayo kipindi cha sikukuu za mwisho wa mwaka.
2) Serikali haikupenda kabisa mtu anayeitwa LOWASSA kupanda ndege zake.
Safari za Kilimanjaro zimeanza tena
Dodoma abiria wapo wa kutosha, tatizo ni hizo ratiba za ajabu na nauri isiyoeleweka. Abiria anaona bora apande basi kuliko ndege inayochukua masaa matano kufikaATCL wameanza kufanya Biashara kumfurahisha bwana yule hii inaonyesha Dodoma hamna abiria wengi na ndio maana wanataka wakawaunganishe na wale wa Kigoma,Biashara ya airline ngumu siyo kuwa na ndege tu.
Kww hiyo kama naenda kigoma nikiwa Dodoma nakata tiketi ya kwenda Dar...then wakinifikisha kigoma nashuka kama naenda kukojoa...Inasikitisha na kuhuzunisha unatolewa Dodoma unapelekwa Kigoma kisha Dar kwa masaa 4 kwa 165,000 TSHS.
ATCL return ticket Mbeya Dar 280,000. Fast jet return ticket the same route 380,000/ Nina ticket hapa ya bombadier Mbeya DarAisee biashara ya ndege si mchezo, hawa ATCL nionavyo hawatadumu kama wasipobadilisha namna ya biashara yao. Angalau basi wangekuwa na nauli bei nafuu lakini wapi! DOM-DAR 165,000/= wakati Fastjet MWZ-DAR (79,000/=) ukiweka na mzigo 101,000/=. Daah, nndivyo tulivyoshauriwa na wanyarwanda?
Ila ticket ya ATCL ipo valid kwa 6 months (ukiangalia bei utaona fastjet bei nafuu lakini hakuna cancellation na hata kama wataruhusu itabidi uongezee kulingana na bei ya siku hiyo.Aisee biashara ya ndege si mchezo, hawa ATCL nionavyo hawatadumu kama wasipobadilisha namna ya biashara yao. Angalau basi wangekuwa na nauli bei nafuu lakini wapi! DOM-DAR 165,000/= wakati Fastjet MWZ-DAR (79,000/=) ukiweka na mzigo 101,000/=. Daah, nndivyo tulivyoshauriwa na wanyarwanda?
Mbeya nako si washamba tu! tukizungumzia ndege tunazungumzia route za maana na wenye uzoefu (kidding - watani zangu nyie). Hongera mkuu, ATCL wacha watie amsha amsha huko Mbeya, maana Kasuku (Fastjet) alibaki peke yake route hiyo. Akawa anatanua anavyojisikia, mara cancellation siku 3.ATCL return ticket Mbeya Dar 280,000. Fast jet return ticket the same route 380,000/ Nina ticket hapa ya bombadier Mbeya Dar