ATCL chukueni maamuzi magumu

ATCL chukueni maamuzi magumu

Nashukuru kwa hiki ulichokieleza lkn hebu nijibu hili umetaja ndege CS 300 Kuwa ni mbovu iko HANGA.

Je ndege zinazotegemewa kuja mwaka huu ni ndege aina gani?

Baada ya kuingia ATCL kwenye ushindani wa Anga nauli zimepanda au zimeshuka.?

Fedha inayokusanywa na ATCL inakwenda wapi? na kufanya nn?

Ndege kuahirishwa imetokea Mara ngapi? Na kwa sababu gani? Je majira haya ya mvua ni ajabu safari kuahirishwa sababu ya mazingira?
ATCL wamepata hasara kubwa sana pamoja na "kupewa" ndege mbili. Wajifunze biashara wasifikiri wenzao wapo kwenue soko kuwachekea.
 
ATCL wamepata hasara kubwa sana pamoja na "kupewa" ndege mbili. Wajifunze biashara wasifikiri wenzao wapo kwenue soko kuwachekea.
Shirika halikai na fedha ,fedha yote inapelekwa HAZINA na zinatumika kwa maendeleo ya nchi hasara hiyo imepimwa kwa lipi?

Shirika linajifunza na litazidi kuendelea tuendelee kulipenda na kuliombea dua.
 
Pia ATCL wapunguze gharama za uendeshaji kwa kutumia mawakala badala ya kuwa na ofisi kila waendako. Hakuna haja yakuwa na watumishi wengi kwenye kila ofisi
Hii ni hoja ya kujenga na ndiyo uzalendo.
 
Malofa chadema ndio zao kuhujumu taifa
Utakalia hayo hayo huku shirika linajifia taratibu, chuki zako umeweka kwa Chadema. Utafikiri Chadema wamewekeza kwenye hilo shirika.
Kuna baadhi ya vijiji tangu tupate huru mpaka leo, maji, umeme na huduma za afya wanazisikia tu. Magu akijenga kisima watu wanakata viuno balaa. Wangejua matatizo ya maji, Elimu (Shule), umeme na afya yalitakiwa yamalizwe nchi mwaka 1980. Wangejua hili wangekuwa wanawapiga mawe viongozi wa ccm.
Ndege inatakiwa iondoke saa 11:40 lkn inaondoka saa 6:15 halafu bado mtu anachekelea, tuiunge mkono ATCL si ujinga huu. Watu wanakimbizana na wakati lkn wapo wapu...,mbaf wasiotaka kufuata muda na wanalazimisha tuwaunge mkono wa lipi?.
N.B
Ukumbuke watu hawapandi bure kwahiyo muda ni muhimu sana kuzingatiwa. Km meshindwa biashara. Weka mkweche pembeni, waache wanaojua kufanya biashara.
 
Shirika halikai na fedha ,fedha yote inapelekwa HAZINA na zinatumika kwa maendeleo ya nchi hasara hiyo imepimwa kwa lipi?

Shirika linajifunza na litazidi kuendelea tuendelee kulipenda na kuliombea dua.
Sijui wamekutoa pori la wapi...yaani faida na hasara isijulikane kisa ndege ni za chama? Mbona Kirumba inajiendesha kwa faida?
 
tender ya manunuzi ya hizo ndege haijawahi kutangazwa, muhusuka mkuu kala 10% kumbe ndege zenyewe viporo.
 
Sijui wamekutoa pori la wapi...yaani faida na hasara isijulikane kisa ndege ni za chama? Mbona Kirumba inajiendesha kwa faida?
Ukitaka historia yangu tuanzishe Uzi mwingine, nilichokueleza ndiyo ukweli, mambo ya chama Mimi siyajui.

Kirumba inajiendesha kwa faida ' ni jambo jema.
 
Shirika halikai na fedha ,fedha yote inapelekwa HAZINA na zinatumika kwa maendeleo ya nchi hasara hiyo imepimwa kwa lipi?

Shirika linajifunza na litazidi kuendelea tuendelee kulipenda na kuliombea dua.
Km fedha zote zinapelekwa hazina hilo shirika litajiendashaje? Acheni kumkufuru Mungu kwa upuuzi wa wenu. Chukueni fedha hazina boresheni huduma.
Ni sawa unaumwa mpaka unakohoa damu, badala mgonjwa mpeleke hospitali mnataka kumuombea. Mwisho wa siku mgonjwa anakufa.
Huwezi kuunga mkono huduma mbovu na ukumbuke hilo shirika watu hawapandi bure na biashara siku hizi ni ushindani.
Endeleni kupeleka pesa hazina na mwisho wa siku shirika linabaki km TTCL
 
tender ya manunuzi ya hizo ndege haijawahi kutangazwa, muhusuka mkuu kala 10% kumbe ndege zenyewe viporo.
Lumumba wanafikiri uzalendo ni kusifia na kuunga kila kitu.
Wao wanaleta mambo ya 1963 wakati tupo 2018. Biashara ni ushindani.
Ww anzisha biashara yako mtaani kwako halafu huduma zako mbovu halafu utegemee majirani unaoishi mtaa mmoja watakusupport, never. Mtu yupo radhi aende mtaa wa 3 ambapo kuna huduma nzuri
 
Nashukuru kwa hiki ulichokieleza lkn hebu nijibu hili umetaja ndege CS 300 Kuwa ni mbovu iko HANGA.

Je ndege zinazotegemewa kuja mwaka huu ni ndege aina gani?

Baada ya kuingia ATCL kwenye ushindani wa Anga nauli zimepanda au zimeshuka.?

Fedha inayokusanywa na ATCL inakwenda wapi? na kufanya nn?

Ndege kuahirishwa imetokea Mara ngapi? Na kwa sababu gani? Je majira haya ya mvua ni ajabu safari kuahirishwa sababu ya mazingira?
Akiweza kutoa majawabu nisitue
 
Km fedha zote zinapelekwa hazina hilo shirika litajiendashaje? Acheni kumkufuru Mungu kwa upuuzi wa wenu. Chukueni fedha hazina boresheni huduma.
Ni sawa unaumwa mpaka unakohoa damu, badala mgonjwa mpeleke hospitali mnataka kumuombea. Mwisho wa siku mgonjwa anakufa.
Huwezi kuunga mkono huduma mbovu na ukumbuke hilo shirika watu hawapandi bure na biashara siku hizi ni ushindani.
Endeleni kupeleka pesa hazina na mwisho wa siku shirika linabaki km TTCL
Ni ushauri mzuri lkn usidhani zinapelekwa kienyeji halafu tusijitie upofu, shirika hili linamadeni yasiyolipika

Kumbuka ndege hizi ni Mali ya serikali majibu mengine ya uendeshaji utayapata humo.

Shirika liko vzr na linatoa Huduma bora na mpaka nauli Dar - Mwz imeshuka sababu ya ATCL

Mgonjwa kuombewa hakuna tatizo inategemea anaumwa nn? Kama ni Maruhani hospital akafanye nn?
 
Shirika halikai na fedha ,fedha yote inapelekwa HAZINA na zinatumika kwa maendeleo ya nchi hasara hiyo imepimwa kwa lipi?

Shirika linajifunza na litazidi kuendelea tuendelee kulipenda na kuliombea dua.
SIna hakika kama hapo kwenye bold pako sawa but lets assume kua uko sahihi, the question is, "Is that the way we run the business"? Yaani unafanya biashara then mapato (bila kujali kama ni hasara au faida) unayatumia kwa matumizi yasiofanana na biashara!?
 
Tunafuatilia kwa ukaribu kuweza kumtambua aliyeleta Uzi huu hapa.
 
SIna hakika kama hapo kwenye bold pako sawa but lets assume kua uko sahihi, the question is, "Is that the way we run the business"? Yaani unafanya biashara then mapato (bila kujali kama ni hasara au faida) unayatumia kwa matumizi yasiofanana na biashara!?
Haiko kienyeji taratibu zote zinafuatwa na mwisho wa siku ATCL itaachiwa ijiendeshe yenyewe.

Kwa sasa serikali imejiridhisha Shirika linamrejesho mzuri usio na hasara.
 
Shirika kama shirika liko sawa na wanajitahidi saana, tatizo lipo katika ushindani wa kibiashara, chuki, wivu na kutothamini vya kwetu.

Abiria wanapata matatizo katika mashirika karibu yote ya ndege hapa nchini tena yanayofanana lkn kwingine wanaona ni bahati mbaya, wavumiliwe na ni hali ya kawaida, ikitokea ATCL lalalala matatizo yote ya FASTJET,P/AIR NK yatalundikwa kwa ATCL ili lionekane limeshindwa.

Tujifanyie clinic sisi wenyewe hivi kweli tunajivunia mafanikio haya, tupo pamoja kwenye changamoto za kibiashara, wapo walioacha kazi na wanapenda kurudi lkn nafasi hakuna kundi hili linachuki.

Wapo ambao wanapenda kona, kona hawataki kuendana na wakati kujiiinua kimafunzo kwa kufuata taratibu sahihi hawa wana wivu.

Tuliunge mkono ni la KWETU.
Wamekusikia watajirekebisha..
 
Back
Top Bottom