Shirika kama shirika liko sawa na wanajitahidi saana, tatizo lipo katika ushindani wa kibiashara, chuki, wivu na kutothamini vya kwetu.
Abiria wanapata matatizo katika mashirika karibu yote ya ndege hapa nchini tena yanayofanana lkn kwingine wanaona ni bahati mbaya, wavumiliwe na ni hali ya kawaida, ikitokea ATCL lalalala matatizo yote ya FASTJET,P/AIR NK yatalundikwa kwa ATCL ili lionekane limeshindwa.
Tujifanyie clinic sisi wenyewe hivi kweli tunajivunia mafanikio haya, tupo pamoja kwenye changamoto za kibiashara, wapo walioacha kazi na wanapenda kurudi lkn nafasi hakuna kundi hili linachuki.
Wapo ambao wanapenda kona, kona hawataki kuendana na wakati kujiiinua kimafunzo kwa kufuata taratibu sahihi hawa wana wivu.
Tuliunge mkono ni la KWETU.