ATCL chukueni maamuzi magumu

ATCL chukueni maamuzi magumu

Ni ushauri mzuri lkn usidhani zinapelekwa kienyeji halafu tusijitie upofu, shirika hili linamadeni yasiyolipika

Kumbuka ndege hizi ni Mali ya serikali majibu mengine ya uendeshaji utayapata humo.

Shirika liko vzr na linatoa Huduma bora na mpaka nauli Dar - Mwz imeshuka sababu ya ATCL

Mgonjwa kuombewa hakuna tatizo inategemea anaumwa nn? Kama ni Maruhani hospital akafanye nn?
Umesoma mfano wa mgonjwa niliyemtaja?
Shirika lolote haliwezi kutoa huduma nzuri na bora km hakuna fedha na kuthamini muda. Chukueni fedha lipa madeni taratibu, wafanyakazi na kuboresha huduma.
Mkishamaliza kulipa madeni, faida inagawanywa nusu. Nusu inabaki na nusu nyingine inapelekwa hazina.
Ktk biashara yyte ile muda una thamani sana kuliko unavyofikiri na usipozingatia muda unaua shirika mapema sana.
Ndiyo maana hata Tanesco wangepata washindani, Tanesco ingebaki na wateja wachache sana km ilivyo TTCL sbb wanafanya biashara kwa mazoea na siyo ushindani.
 
Umesoma mfano wa mgonjwa niliyemtaja?
Shirika lolote haliwezi kutoa huduma nzuri na bora km hakuna fedha na kuthamini muda. Chukueni fedha lipa madeni taratibu, wafanyakazi na kuboresha huduma.
Mkishamaliza kulipa madeni, faida inagawanywa nusu. Nusu inabaki na nusu nyingine inapelekwa hazina.
Ktk biashara yyte ile muda una thamani sana kuliko unavyofikiri na usipozingatia muda unaua shirika mapema sana.
Ndiyo maana hata Tanesco wangepata washindani, Tanesco ingebaki na wateja wachache sana km ilivyo TTCL sbb wanafanya biashara kwa mazoea na siyo ushindani.
Tupo pamoja ,umetoa ushauri mzuri na ndiyo unaofuatwa kwa sababu serikali inatambua yote kuwa shirika kwa sasa huwezi kulipa ndege ni Mali ya serikali.

Wakati ukifika watakabidhiwa na kujiendesha moja kwa moja,
 
Tarehe 10 Machi 2018 nimesafiri toka Dsm mpaka Kilimanjaro. Safari ilitakiwa ianze SAA 11:40 lakini tukaondoka SAA sita na robo usiku. Kisa ni kupata hitilafu ya kiufundi huko mwanza


Kwa hiyo ilichelewa dakika 35 tu kwa matengenezo.

Sio mbaya, ni kawaida popote duniani. Rubani anaweza ku make up for the lost time akiwa hewani.
 
Pia ATCL wapunguze gharama za uendeshaji kwa kutumia mawakala badala ya kuwa na ofisi kila waendako. Hakuna haja yakuwa na watumishi wengi kwenye kila ofisi
WENGINE TULE WAPI SASA
 
Kweli mkuu lkn ilikufa ghafla tu,wanasema ilikua inamilikiwa na wakina diallo na wenzake though am not sure.
hata mimi nilisikia eti wakubwa wa kazi wamelipiga figisufigisu kwa maana lilikuwa na bei nzuri
 
hata mimi nilisikia eti wakubwa wa kazi wamelipiga figisufigisu kwa maana lilikuwa na bei nzuri
Inawezekana aisee,kipindi kile ticket ya C/airline kwenda Dar ilikua inaizidi kidogo ticket ya bus la kwenda dar.
 
Shirika kama shirika liko sawa na wanajitahidi saana, tatizo lipo katika ushindani wa kibiashara, chuki, wivu na kutothamini vya kwetu.

Abiria wanapata matatizo katika mashirika karibu yote ya ndege hapa nchini tena yanayofanana lkn kwingine wanaona ni bahati mbaya, wavumiliwe na ni hali ya kawaida, ikitokea ATCL lalalala matatizo yote ya FASTJET,P/AIR NK yatalundikwa kwa ATCL ili lionekane limeshindwa.

Tujifanyie clinic sisi wenyewe hivi kweli tunajivunia mafanikio haya, tupo pamoja kwenye changamoto za kibiashara, wapo walioacha kazi na wanapenda kurudi lkn nafasi hakuna kundi hili linachuki.

Wapo ambao wanapenda kona, kona hawataki kuendana na wakati kujiiinua kimafunzo kwa kufuata taratibu sahihi hawa wana wivu.

Tuliunge mkono ni la KWETU.
Sitaki unafiki, kama kibovu ni kibovu. Upande kibovu eti unaunga mkono chako, NO! Rekebisha mambo na tupende chetu
 
Sitaki unafiki, kama kibovu ni kibovu. Upande kibovu eti unaunga mkono chako, NO! Rekebisha mambo na tupende chetu
Turekebishe na tupende chetu,shirika ni letu tutoe maoni ya kujenga.

Pamoja tutafika unadhani kushusha nauli wengine walipenda! Sababu ya chakwetu.
 
Back
Top Bottom