Jameel2013
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 824
- 762
Safari ya Rais bora atumie ndege ya AirTanzania kwenda huko sababu zile ndege ni za serikali na hazina route yeyote ya maana kwa sasa .....gharama atakayo tumia kwenye mashirika mengine inaweza kuwa karibu sawa tu maana First class kwenye mashirika mengine ni zaidi DOLLAR 7000 kwa kichwa sasa wakiwa zaidi ya watu 20 sibora atumie ndege yao na hela inabaki Tanzania.