babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,025
AsanteKaondoka na Emirates.
AsanteKaondoka na Emirates.
Sidhani. Gharama ya kuiweka angani Dreamliner kwa lisaa limoja ni $10,000+. Bado kuna gharama za airport huko itakakokuwa na mengineyo. Sijui ni masaa mangapi kutoka hapa mpaka huko Niu Yok na kurudi.Safari ya Rais bora atumie ndege ya AirTanzania kwenda huko sababu zile ndege ni za serikali na hazina route yeyote ya maana kwa sasa .....gharama atakayo tumia kwenye mashirika mengine inaweza kuwa karibu sawa tu maana First class kwenye mashirika mengine ni zaidi DOLLAR 7000 kwa kichwa sasa wakiwa zaidi ya watu 20 sibora atumie ndege yao na hela inabaki Tanzania.