Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
- Thread starter
- #21
DNA inafanyika kwa mtoto tumboni
Hana haja ya kuwatoa damu hao wanaume, anaweza kutumia kama miswaki, nywele zao kupeleka.
Ili asijichangane ningemshauri apeleke nywele za mmoja tu, na majibu yakitoka atajua baba ni yupi.
Ila ushauri mwengine ni kuwa aache tabia hiyo....haikubaliki
This is excellent piece of advise, very objective!! Thank you very much!