Kazi anayo! Hapo kila baada ya chapter kuna maswali ili kupima kama ameelewa!
Na hiyo ni Volume I, Kazi Kwelikweli!
Ukitaka kumuelewa mwanamke inabidi uanze kwanza kumuelewa mwanamke! kwanini? "kwasababu mwanamke alitokana na mwanaume"
Katika uumbaji, Mungu alichukua ubavu wa mwanaume na katika huo alitwaliwa mwaname, so haiwezekana kumuelewa mwanamke kama hujaweza kumuelewa mwanaume.
Ok, kwamfano unataka kuelewa juice ya machungwa ilivyo, ukikazania kutafiti juice ywnyewe utachukua muda mrefu sana, kitu rahisi kabisa ni kutafiti machungwa, au kuelewa machungwa yaliyotengeneza juice
Kazi mnayo mnaokomaa kumuelewa mwanamke, you will never in your life time
sawa TEODORO!soma chapter10 ile inayosema "ukitaka usikimbiwe fanya haya.........."
hiyo nDO MPANGO MZIMA
Tatizo sio kitabu bali mada anayosoma
Akifuatilia maelekezo!