Atakayesoma sheria chuo kikuu hatapewa mkopo - serikali

Mwakiluma

Senior Member
Jan 23, 2012
120
47
(serikali yawakaanga wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu);
hii sasa imedhihirika wazi kwamba serikali haina haja tena ya kusomesha watu wake...katika waraka wa tcu(taasisi ya vyuo vikuu) kwenda kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu mwaka huu(soma chini waraka huo) imeorodhesha wazi fani ambazo hazitapewa mkopo tena, mbali na sheria zimo fani pia za uchumi zote(economics), sociologia , political scence na zingine. Napata taabu kuwa serikali imeridhika nini na kiwango cha watu wake waliosoma mpaka kuamua kutosemesha tena wanafunzi vyuo vikuu. Nchi zote duniani zinaweka mkazo katika kusomesha watu wake lakini kwa tanzania usomi si chochote. Serikali inaamini ikiwasomesha watu wake wataamka na kuona jinsi serikali inavyotafuna rasilimali za nchi hii. Je iwapo tutaacha kuwasomesha wanasheria na wana uchumi tutakuwa na taifa la namna gani. Nani atasimamia utiaji saini wa mikataba makini na nani pia atasimamia uchumi wa nchi hii. "kweli serikali ya tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu).

View attachment Admissions Guidebook for 2012-2013.pdf
 
(serikali yawakaanga wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu);
hii sasa imedhihirika wazi kwamba serikali haina haja tena ya kusomesha watu wake...katika waraka wa tcu(taasisi ya vyuo vikuu) kwenda kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu mwaka huu(soma chini waraka huo) imeorodhesha wazi fani ambazo hazitapewa mkopo tena, mbali na sheria zimo fani pia za uchumi zote(economics), sociologia , political scence na zingine. Napata taabu kuwa serikali imeridhika nini na kiwango cha watu wake waliosoma mpaka kuamua kutosemesha tena wanafunzi vyuo vikuu. Nchi zote duniani zinaweka mkazo katika kusomesha watu wake lakini kwa tanzania usomi si chochote. Serikali inaamini ikiwasomesha watu wake wataamka na kuona jinsi serikali inavyotafuna rasilimali za nchi hii. Je iwapo tutaacha kuwasomesha wanasheria na wana uchumi tutakuwa na taifa la namna gani. Nani atasimamia utiaji saini wa mikataba makini na nani pia atasimamia uchumi wa nchi hii. "kweli serikali ya tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu).

View attachment 55119

Kwa hiyo unategemea tusome dude lote hilo. Kata kipande husika kiweke hapa na anayetaka habari kamili aingie huko kwenye handbook.
 
imedhihirika waliosomeshwa hawajui sheria na wanaboronga tu,wauchumi hawaimplement walichosoma,wanajipanga kuja kivingine
 
Ukali wa kina Tundu Lisu, Halima Mdee na Mnyika unawaumiza sasa. Poleni sana. Vyuo vibuni course mpya ya B.A Ed (Law).
 
Acheni kuionea TCU na serikali. Miaka ya Nyerere kulikuwa na kipaumbele cha kusomesha wataalam na ilikuwa ni Kilimo, Udaktari anzia wa rural medical aid, nursing, vertinary officers, ualimu na hata tuliomaliza shule nyakati hizo hatukujua elimu nyingine zaidi ya hizo fani. hata hviyo wanasheria, wahasibu,wanauchumi na wengineo nao walikuwepo na walisoma. Mimi naona nia ya TCU ni nzuri tu kupambanua kozi zipi zina kipaumbele cha mkopo ili watu wakasome tujazie mapengo kwenye fani hizo. hawajasema fani zingine hazitapewa mkopo ila wakishawapa mkopo wenye kusoma fani zilizoainishwa wengine watapewa tu. Kumbuka pamoja na hao TCU kuanisha kozi hizo mkopo ni ''Subject to means testing'' kipimo cha kuangalia kama wewe ni maskini wa kutosha kupewa mkopo. Mfano YATIMA, WALEMAVU, UMEFIWA NA MZAZI MMOJA.
 
wa kuwalaumu ni Bodi ya mikopo. fomu zao hazina maelezo mengi kwa muombaji kuna open na closed questions. ukishajaza una submit na huwezi tena kuEdit na kufuta ulichojaza mwanzo. wanasema eti wanaangalia muombaji alisoma shule gani za kulipia au za serikali. wanasahau kwamba kuna watu maskini wanauza nyanya, samaki, ubuyu, maandazi ili wagharimie elimu ya sekondari ya watoto wao. halafu pia hawajui kuna single parency ya watoto waliotelekezwa na baba zao wakasomeshwa tu na mama zao ambao wamejitolea muhanga ili kuwafikisha watoto wao sekondari. Bodi walitakiwa wataoe uwanja mpana wa Single Parency na si kukimbilia tu ni wale waliofiwa na mzazi mmoja. Mimi mwanangu amesoma Private kwa mkopo wa kazini baada ya kutochaguliwa darasa la saba na alitelekezwa na baba yake tangu utoto. Ninaamini kwa vile kasoma Private sekondari zote na amejaza fomu zenye Priority hatapewa mkopo kwa hiyo Means testing ya Bodi ya Mikopo.
 
"Mimi naona nia ya
TCU ni nzuri tu kupambanua
kozi zipi zina kipaumbele cha
mkopo ili watu wakasome
tujazie mapengo kwenye fani
hizo. hawajasema fani zingine
hazitapewa mkopo ila
wakishawapa mkopo wenye
kusoma fani zilizoainishwa
wengine watapewa tu."

Katika nchi kama Tanzania kusema kwamba eti kozi flani ndo zipewe kipaumbele ni ujuha tena usiofaa kabisa..
Hebu fikiria nchi hii imepiga hatua kimaendeleo kwa kiwango cha kutoa kimpaumbele cha kusomesha watu wake kwa vipaumbele, mi nadhani si sahihi hata kidogo.
Bado tunahitaji wanataaluma wengi zaidi ya hawa tulio nao.
 
Fedha zote quchney! Kina Mkulo wamekula wakajiuzulu, now hata Hela ya dawa hawana MSD Wanawadai na wanashindwa kuhirndesha"
Sembuse elumu, tena inayowafanya washindwe kuongoza kwa qmani
 
(serikali yawakaanga wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu);
hii sasa imedhihirika wazi kwamba serikali haina haja tena ya kusomesha watu wake...katika waraka wa tcu(taasisi ya vyuo vikuu) kwenda kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu mwaka huu(soma chini waraka huo) imeorodhesha wazi fani ambazo hazitapewa mkopo tena, mbali na sheria zimo fani pia za uchumi zote(economics), sociologia , political scence na zingine. Napata taabu kuwa serikali imeridhika nini na kiwango cha watu wake waliosoma mpaka kuamua kutosemesha tena wanafunzi vyuo vikuu. Nchi zote duniani zinaweka mkazo katika kusomesha watu wake lakini kwa tanzania usomi si chochote. Serikali inaamini ikiwasomesha watu wake wataamka na kuona jinsi serikali inavyotafuna rasilimali za nchi hii. Je iwapo tutaacha kuwasomesha wanasheria na wana uchumi tutakuwa na taifa la namna gani. Nani atasimamia utiaji saini wa mikataba makini na nani pia atasimamia uchumi wa nchi hii. "kweli serikali ya tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu).

View attachment 55119

Afadhali tubaki wachache tutese kwenye labour market.
Vijana someni Ufundi, Ualimu na Udaktari, Hizi ndizo fani za msingi kwa maendeleo.

 
imedhihirika waliosomeshwa hawajui sheria na wanaboronga tu,wauchumi hawaimplement walichosoma,wanajipanga kuja kivingine

ni afadhali we umemwambia. Watu wanachangisha harusi mpaka m20 kula kuku waliokuziwa arv.!! Lazima mtie akili na kuanzisha harambee za kuchangia watu wakasome.. By the way,kilichoishinda heslb ni kushindwa kuchambua nani anafaa jupewa mkopo na nani hafai. Hata hivyo mkijazana huko mtawasumbua kina riz
 
Chagua chadema 2015 ujinga kama huu hawataruhusu kabisa,hatuna wanasheria hatuna wachumi hatuna watu wa jamii ma-activist hili taifa litakuaje? Hv nani ni waziri wa elimu ya juu? Bado yupo tu anaangalia huu ujinga?
 
(serikali yawakaanga wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu);
hii sasa imedhihirika wazi kwamba serikali haina haja tena ya kusomesha watu wake...katika waraka wa tcu(taasisi ya vyuo vikuu) kwenda kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu mwaka huu(soma chini waraka huo) imeorodhesha wazi fani ambazo hazitapewa mkopo tena, mbali na sheria zimo fani pia za uchumi zote(economics), sociologia , political scence na zingine. Napata taabu kuwa serikali imeridhika nini na kiwango cha watu wake waliosoma mpaka kuamua kutosemesha tena wanafunzi vyuo vikuu. Nchi zote duniani zinaweka mkazo katika kusomesha watu wake lakini kwa tanzania usomi si chochote. Serikali inaamini ikiwasomesha watu wake wataamka na kuona jinsi serikali inavyotafuna rasilimali za nchi hii. Je iwapo tutaacha kuwasomesha wanasheria na wana uchumi tutakuwa na taifa la namna gani. Nani atasimamia utiaji saini wa mikataba makini na nani pia atasimamia uchumi wa nchi hii. "kweli serikali ya tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu).

View attachment 55119

Ninaamini hujaelewa kabisa hiyo sehemu inayosema serikali haitatoa mkopo kwa fani hizo. Nasisitiza naamini hujaelewa!
 
Wanasheria wako wengi mtaani, wacha wapunguzwe. Tunawahitaji madaktari, na wanasayansi wengine. Anayetaka sheria atajisomesha, mbona watu wanajisomesha master na phd.
 
Hela za kusomeshea wameshaziweka
kwenye mifuko yao.

CDM watarekebisha haya mambo
ni mateso ya muda tu, vijana kaza buti.
 
Wtz ndo tukome.....tuliambiwa tuchague cdm free education tukabisha eti haiwezekani.........tutajiju......
 
Back
Top Bottom