Mwakiluma
Senior Member
- Jan 23, 2012
- 120
- 47
(serikali yawakaanga wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu);
hii sasa imedhihirika wazi kwamba serikali haina haja tena ya kusomesha watu wake...katika waraka wa tcu(taasisi ya vyuo vikuu) kwenda kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu mwaka huu(soma chini waraka huo) imeorodhesha wazi fani ambazo hazitapewa mkopo tena, mbali na sheria zimo fani pia za uchumi zote(economics), sociologia , political scence na zingine. Napata taabu kuwa serikali imeridhika nini na kiwango cha watu wake waliosoma mpaka kuamua kutosemesha tena wanafunzi vyuo vikuu. Nchi zote duniani zinaweka mkazo katika kusomesha watu wake lakini kwa tanzania usomi si chochote. Serikali inaamini ikiwasomesha watu wake wataamka na kuona jinsi serikali inavyotafuna rasilimali za nchi hii. Je iwapo tutaacha kuwasomesha wanasheria na wana uchumi tutakuwa na taifa la namna gani. Nani atasimamia utiaji saini wa mikataba makini na nani pia atasimamia uchumi wa nchi hii. "kweli serikali ya tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu).
View attachment Admissions Guidebook for 2012-2013.pdf
hii sasa imedhihirika wazi kwamba serikali haina haja tena ya kusomesha watu wake...katika waraka wa tcu(taasisi ya vyuo vikuu) kwenda kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga vyuo vikuu mwaka huu(soma chini waraka huo) imeorodhesha wazi fani ambazo hazitapewa mkopo tena, mbali na sheria zimo fani pia za uchumi zote(economics), sociologia , political scence na zingine. Napata taabu kuwa serikali imeridhika nini na kiwango cha watu wake waliosoma mpaka kuamua kutosemesha tena wanafunzi vyuo vikuu. Nchi zote duniani zinaweka mkazo katika kusomesha watu wake lakini kwa tanzania usomi si chochote. Serikali inaamini ikiwasomesha watu wake wataamka na kuona jinsi serikali inavyotafuna rasilimali za nchi hii. Je iwapo tutaacha kuwasomesha wanasheria na wana uchumi tutakuwa na taifa la namna gani. Nani atasimamia utiaji saini wa mikataba makini na nani pia atasimamia uchumi wa nchi hii. "kweli serikali ya tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu).
View attachment Admissions Guidebook for 2012-2013.pdf