Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,950
- 69,249
Duuh shem na wewe una vituko balaahahahahahahahahah sithubutu kutoa povu juu yako
nitacheka sana siku hiyoooo loooh naomba iwe weekend maana nitahitaji kulala chini kwa kicheko
Duuh shem na wewe una vituko balaahahahahahahahahah sithubutu kutoa povu juu yako
nitacheka sana siku hiyoooo loooh naomba iwe weekend maana nitahitaji kulala chini kwa kicheko
usalama ni mkubwa mno namshukuru MunguVip huko kwako , salama ?
ndo siku hiyo utaona vituko vyangu sasa, naisubiri hiyo siku nione bomu lakoDuuh shem na wewe una vituko balaa
unatembea na bullets proof ?usalama ni mkubwa mno namshukuru Mungu
niko salama kabisa nilipo, siko mie kwa uncle Pombe kwa hiyo usalama wangu uko swafi kabisa.unatembea na bullets proof ?
haya shemndo siku hiyo utaona vituko vyangu sasa, naisubiri hiyo siku nione bomu lako
Excellentniko salama kabisa nilipo, siko mie kwa uncle Pombe kwa hiyo usalama wangu uko swafi kabisa.
Malaika wa Mungu wapo pande zote wakilinda usalama wangu
punguza utani majoto toGogo la mnazi zi
zinga la nyuki ki
kibamia cha Jose se
severesiti ti
tia upupu pu
nilimpa zakeHahaha we jamaa nitakupima mkojo
aiseehnilimpa zake
punguza utani majoto to
toa hogo lako ko
kote unakimbiwa wa
Da umenikumbusha mbali nimejikuta naimba kwa sauti mpaka kila mtu akaangua kicheko.Katika mchezo wa Tausi mganga nani ka
Kalumanzila la, lala salama ma, mama mzazi zi,
zizi lang'ombe mbe, mbele ya nyumba mba,
mbali na wewe we, wembe wa kucha cha,
chakula kitamu mu, Mungu mkubwa bwa, bwawa la
samaki ki, king majuto to, tone la maji ji, jitu la
kale le, lenye midevu vu, vumbua dhahabu bu,
bubu asemi mi, mimi mdogo go, gogo la mti ti, ........................
michezo ya kula mbakishie baba tulimpiga mtoto wa watu hadi alizimia ndio ikawa mwisho sikutaka kucheza tena
Aiseeeeaiseeh
e embe mbe...Aiseeee