Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
Waache unafki hao. Wanaojiuza Bwawani na pale Makaburini karibu na Gymkhana watavaa mabaibui?
. . . . Na hao hao wanaotoa amri hizo ndio wateja wakuu wa hao dadapoa wavaao mavazi hayo.
KWELI HUU NI UNAFIKI MTUPU.