matokeo ya awali ya Uchaguzi yakiemdelea kuonesha kutofautiana na tafiti za Redet na synovate. Je, taasisi zilizofanya utafiti na kutoa matokea hayo ziendelee kufanya kazi zao hapa Tz? Watendaji wao waliohujumu sayansi ya utafiti je?
Synovate ni kampuni ya wakenya inayoongoza tafiti za kusaidia kampuni za Kenya kuinyonya tz. Viongozi wa Redet ni vilaza wanaofikiri kwa kutumia tumbo badala ya kichwa
Is a simple labolatory stove which is used for heating
- George Akerlof anasema there is nothing as bad as being seeing as a lemon. Reputation damage is worse than anything you know. Hawa jamaa wameisha contaminate brand zao labla wabadili majina ndiyo wananchi watawaamini.