Duuuuu!mi naoga mara tatu kwa siku na zote najiswafi ile ya uhakika,kujimwagia maji tu labda wanaume kwa mtt wa kike hyo hamna
wengine wanapelekwa kulima wakiwa ndotoni?
Usiku si tunaumba watoto.
Nalog off
je kuogelea mtoni napo kuoga...?Ndio yani kuchukua maji na sabuni au shamppo na kuingia bafuni na kuanza kupiga deki mwilini
Mimi ndiye muumbaji na M/mungu ndiye atakayempa rizki yake.unaumba we Mungu?
meona eeeee!!