Hivi Zanzibar ina uchumi9 gani mpaka hawa Wazanzibari wafikirie kuwa hatuwezi kuishi bila Zanzibar?
Kuna nini cha maana Zanzibar au mwanamke gani wa bara anataka kuolewa na wanaume mabwabwa wa Zanzibar? Kuna wanawake gani wazuri Zanzibar wasioluwepo bara - kama ni wamanga koko wamejaa Kigoma ujiji, Tabora, Tanga, Kilwa, Bagamoyo n.k ..... nani anawataka hao waarabu waliochoka kimaisha?
Sioni mantiki ya mtoa hoja!!!! - Zanzibar kuna dhahabu kama za Geita, Kuna Sangara kama za Mwanza na Kigoma, Kuna mgebuka? Kuna Tanzanite, Kuna Kahawa nzuri kama za Kilimanjaro au kuna Pamba kama za Shinyanga? Je Zanzibar wana mbuga za wanyama kama Serengeti na Mikumi? ==---- Wana beach za kupumzikia watalii kama za Kigamboni,,,,,
Zanzibar watueleze kuwa wanakitu gani cha maana kinachotushawishi tuwaone wa maana katika Muungano!!