mmmhhhhh kwani hakuomba msamaha???Sasa inakuwaje? na nimemmisije! na amesemajee? na ahadi ameivunjajee?
mmmhhhhh kwani hakuomba msamaha???
Nani amsamehe tena,
mmezoea kuwaacha vijana wenzenu kutoka na akina babu Asprin,
hivi kweli hapa kuna msamaha kweli.
Wanaupenda ukaguzi wangu. Hapa nlikuwa namkagua princess enny
Na hapa charminglady anajiandaa kwa ukaguzi. Chezeya ODM weye?.
Hapo nlikuwa nshamaliza na kina Cantalisia, sweetlady na Catherine.
looooohhhh!!!!!! ulimkagua au ulishuhudia!!!!