Askofu Pengo: Sikufahamu kuhusu waraka wa Kwaresma wa Baraza la Maaskofu Katoliki. Awaasa wasichanganye dini na siasa

Kwa unafiki huu, Pengo atakufa kifo kibaya sana. Ni vema ajihudhuru mapema huo uongozi wa kuongoza jimbo. Anakwaza wengi.
 
Msimshangae pengo uwezo wake wa kufikiri kwa sasa ni wa mashaka kwanza kiafya lkn pia sasa na umri wa kutoka ukubwa kurudi utoto tayari c umeshamfika na kwa ss hata kumchagua papa uwezo huo ameondolewa kwakuwa maamuzi atakayoyafanya c ya timamu hivyo msishangae,waraka ule alitia saini leo anasema alikuwa hajuihamuoni hapo?
 
Awe na taarifa yy km nani wkt hana time na watz......aendelee kutumia pesa za escrow maana ndo sababu ya kiwewe alichonacho hamna jingine. Isinhekuwa mambo ya ban ningemtusi sn huyu pengo
Huyo pengo ni jamaa wa kitengo
 
Ameongea kweli. ...umeshangaa nini sasa.

Msingi wa siasa ni unafiki
Na msingi wa Dini Utakatifu.
Si ajabu na ww ni kati ya waliopungukiwa na uwezo wa kufikiri nn maana ya kaisari mpe kaisari na ya MINGU mpe MUNGU vyote hivyo alivitambua kristo yesu lkn pia kila serikali iliyopo MUNGU anaitambua na ndo maana kina nebukardineza aliwapiga baada ya kwenda kinyume na mapenzi yake lkn ni serikali nyingi tu ziliangukia pua kwa mateso ya wana wa MUNGU.
 
Hivi uhuru wa kutoa maoni upi.....!!?

Kwanini wanaopigania uhuru wa kutoa maoni wao ndio wa kwanza kutoheshimu maoni ya wenzao...!!?

Kwanini watu wanapenda maoni na mitazamo inayowafurahisha wao tu hali ya kuwa hao hao ndio wanaharakati wa demokrasia...!!?

Bila shaka sisi tuna aina yetu ya demokrasia na kutoa maoni......

Kwa Tanzania uhuru wa kutoa maoni maana yake ni kutoa maoni yanayowafurahisha CHADEMA tu vinginevyo utaambulia matusi
 
Mimi sio mkristu ila kauli ya "bwana mwanya" inanishangaza kidogo, hao wasiotakiwa kujihusisha na siasa ni wa Tanzania tu au dunian kote? Maana mara kibao tunasikia na kuona kwenye vyombo vya habar yule papa wa kikofia mara yupo mashariki ya kati, mara yupo chechnia akihamasisha aman na sehemu nyingnezo duniani au ile sio siasa? Ndugu zangu wakristu mnijib kwa hili walau.
Mkuu wakikujibu uvvccm nitag
 
Askofu Pengo n mjumbe wa baraza la maaskofu tanzania. Sitaki kujua aliudhuria kikao cha maaskofu wenzake au la! Kwan Baraza lina uongozi wake kamili ndo wasemaji wa kanisa katoliki Tanzania. Sio askofu Pengo, askofu Pengo n mjumbe tu.
Linalonitatiza sio waraka uliotumwa.
1. Linalonitatiza n maamuzi ya baraza kwann yeye anapingana nayo sana hasa yakikosoa serikali tu????

2. Lingine hakuna utaratibu wa kuwasilisha mawazo yake kama ktk kikao kile hakuudhuria??

3. Kwann askofu pengo hataki kukubaliana na wenzake? Yeye n mmoja tu

4. Kwann askofu hakubali kuwa yeye si msemaji wa kanisa katoliki tanzania???
 
Mimi ni Catholic lakini huyu Mapengo simpendi kabisa sijui huwa anawaza nini ..Vatican wamchukue huyu mtu wao sisi hapa kwa kweli hatufai
 
Awe na taarifa yy km nani wkt hana time na watz......aendelee kutumia pesa za escrow maana ndo sababu ya kiwewe alichonacho hamna jingine. Isinhekuwa mambo ya ban ningemtusi sn huyu pengo
Pengo ni mutu ya kitengo anatumikia white milembe siku nyingi ila viongozi wa kanisa wametambua baada ya kumpeleleza na taarifa kufikishwa vatikani hivyo ameanza kutengwa step by step baada ya kugundulika kuwa ni spy ndani ya kanisa ndo maana unasikia analalamika kuwa akujulishwa habari za waraka
 
Mimi sio mkristu ila kauli ya "bwana mwanya" inanishangaza kidogo, hao wasiotakiwa kujihusisha na siasa ni wa Tanzania tu au dunian kote? Maana mara kibao tunasikia na kuona kwenye vyombo vya habar yule papa wa kikofia mara yupo mashariki ya kati, mara yupo chechnia akihamasisha aman na sehemu nyingnezo duniani au ile sio siasa? Ndugu zangu wakristu mnijib kwa hili walau.
Maisha ni siasa.
 
Mimi sio mkristu ila kauli ya "bwana mwanya" inanishangaza kidogo, hao wasiotakiwa kujihusisha na siasa ni wa Tanzania tu au dunian kote? Maana mara kibao tunasikia na kuona kwenye vyombo vya habar yule papa wa kikofia mara yupo mashariki ya kati, mara yupo chechnia akihamasisha aman na sehemu nyingnezo duniani au ile sio siasa? Ndugu zangu wakristu mnijib kwa hili walau.
Sisi huyu hatumtaki kabisa akiendelea hivi tutamkabidhi kwa Da Mange apewe za Uso
 
By the way hivi viongozi wa dini hawakuhusishwa kwenye zile harakati za katiba Mpya? Sasa mbna hawakupinga kwa kigezo cha kutokuchanganya siasa na dini? Dah nawaza tuu ni nini kinatufanya kuwa wanafiki kwa watu wetu wenyewe
 
Back
Top Bottom