Askofu Paul Bendera: Anayeratibu vurugu Desemba 25 haiheshimu dini ya Kristo

Askofu Paul Bendera: Anayeratibu vurugu Desemba 25 haiheshimu dini ya Kristo

Mafyangula

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2025
Posts
505
Reaction score
887
Askofu Paul Bendera amewataka watanzania kuungana na watu mbalimbali Duniani kusherehekea kwa amani, Siku ya Kuzaliwa kwa Yesu Kristo Disemba 25, na kuachana na mipango ya wasiolitakia mema taifa la Tanzania ambapo wamepanga kutumia siku hiyo kufanya matukio ya Uvunjifu wa amani,

Askofu Bendera amesema ukiona mtu amepanga kufanya uvunjifu wa amani siku ya kuzaliwa mfalme wa amani, basi huyo mtu maanake hawezi <uheshimu imani ya dini yeyote nchini, hivyo anapaswa kutozingatiwa kwani anaweza kuleta mgogoro wa kidini.

 
sahihi 100%

Hizo ni mimba zilizokosewa kutungwa


TUHESHIMU IMANI KATAA MAANDAMANO LINDA UHAI WAKO
 
Siku ya Kuzaliwa kwa Yesu Kristo Disemba 25,
Askofu ubwabwa huyu, hajui kwamba hatusherehekei siku ya kuzaliwa bali 'tukio la kuzaliwa' Yesu.
Kwa maana hio tukio la kuzaliwa hata Leo unasherehekea tu, ndio maana kuna wengine wanasherehekea January
Acha watu wadai haki
 
Askofu Paul Bendera amewataka watanzania kuungana na watu mbalimbali Duniani kusherehekea kwa amani, Siku ya Kuzaliwa kwa Yesu Kristo Disemba 25, na kuachana na mipango ya wasiolitakia mema taifa la Tanzania ambapo wamepanga kutumia siku hiyo kufanya matukio ya Uvunjifu wa amani,

Askofu Bendera amesema ukiona mtu amepanga kufanya uvunjifu wa amani siku ya kuzaliwa mfalme wa amani, basi huyo mtu maanake hawezi <uheshimu imani ya dini yeyote nchini, hivyo anapaswa kutozingatiwa kwani anaweza kuleta mgogoro wa kidini.

Kumbe ni hawa askofu wa mchongo! Hiyo sauti tu inamtambulisha huyu ni tapeli.
 
Askofu ubwabwa huyu, hajui kwamba hatusherehekei siku ya kuzaliwa bali 'tukio la kuzaliwa' Yesu.
Kwa maana hio tukio la kuzaliwa hata Leo unasherehekea tu, ndio maana kuna wengine wanasherehekea January
Acha watu wadai haki
Askofu wanakuwa na akili kwasababu wanaoa na wanafamilia sio hao watawa hawajui chochote kuhusu maisha
 
Huyu kiazi wafuasi wake ndo wanasemaga wanasali kwa mungu wa bendera?!
huyu pimbi ni tapeli
 
Askofu Paul Bendera amewataka watanzania kuungana na watu mbalimbali Duniani kusherehekea kwa amani, Siku ya Kuzaliwa kwa Yesu Kristo Disemba 25, na kuachana na mipango ya wasiolitakia mema taifa la Tanzania ambapo wamepanga kutumia siku hiyo kufanya matukio ya Uvunjifu wa amani,

Askofu Bendera amesema ukiona mtu amepanga kufanya uvunjifu wa amani siku ya kuzaliwa mfalme wa amani, basi huyo mtu maanake hawezi <uheshimu imani ya dini yeyote nchini, hivyo anapaswa kutozingatiwa kwani anaweza kuleta mgogoro wa kidini.

Kwani lazima waiheshinu?
 
Wewe ni Atheist haya kuhusu
Mambo ya uongozi wa nchi ni mambo secular si ya dini.

If anything hizi habari za dini ndizo hazitakiwi kuingizwa kwenye mambo secular.

You have got it backwards.
 
Wa dhehebu gani huyo? Maana Kuna maaskofu (roman, Anglican, waluteli) halafu Kuna mabishop ndio hao wengine
 
HIVI HII KESI IPO MAHAKAMA GANI WADAU
 

Attachments

  • 20251219_184202.jpg
    20251219_184202.jpg
    128 KB · Views: 6
Askofu Paul Bendera amewataka watanzania kuungana na watu mbalimbali Duniani kusherehekea kwa amani, Siku ya Kuzaliwa kwa Yesu Kristo Disemba 25, na kuachana na mipango ya wasiolitakia mema taifa la Tanzania ambapo wamepanga kutumia siku hiyo kufanya matukio ya Uvunjifu wa amani,

Askofu Bendera amesema ukiona mtu amepanga kufanya uvunjifu wa amani siku ya kuzaliwa mfalme wa amani, basi huyo mtu maanake hawezi <uheshimu imani ya dini yeyote nchini, hivyo anapaswa kutozingatiwa kwani anaweza kuleta mgogoro wa kidini.

Ningependa kujua kuandamana kunatishiaje amani? Watu kutembea huku wameshika mabango hatujaanza leo sasa imegeukaje kuwa ni uvunjaji wa amani?

Amandla....
 
Askofu Paul Bendera amewataka watanzania kuungana na watu mbalimbali Duniani kusherehekea kwa amani, Siku ya Kuzaliwa kwa Yesu Kristo Disemba 25, na kuachana na mipango ya wasiolitakia mema taifa la Tanzania ambapo wamepanga kutumia siku hiyo kufanya matukio ya Uvunjifu wa amani,

Askofu Bendera amesema ukiona mtu amepanga kufanya uvunjifu wa amani siku ya kuzaliwa mfalme wa amani, basi huyo mtu maanake hawezi <uheshimu imani ya dini yeyote nchini, hivyo anapaswa kutozingatiwa kwani anaweza kuleta mgogoro wa kidini.

Dhehebu gani huyu?
 
Back
Top Bottom