NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,492
- 1,311
Mkuu utakuta mtu ana waumini kumi na hata wasaidizi hana lakini anajiita Askofu. Uaskofu umeingiliwa
Maaskofu wote wangechunguzwa kama wanavyo chunguzwa viongozi kubaini biashara zao na vyanzo vya utajiri wao