kama tatizo ni limao tu kwanini wananchi mpaka majirani wasimtetee wamuangushie kipigo? jiulize kwanza hapoHata kama aliiba gari ama ng'ombe ni kwanini awekwe mahabusu na wanaume watu wazima???
kama tatizo ni limao tu kwanini wananchi mpaka majirani wasimtetee wamuangushie kipigo? jiulize kwanza hapoHata kama aliiba gari ama ng'ombe ni kwanini awekwe mahabusu na wanaume watu wazima???
Tuache ya limao,jee kwa umri wake ni sawa kuwekwa mahabusu na watu wazima? Na kwa nini wasimpeleke mahakamani waendelee kukaa naye mahabusu huku walezi wake hawajui mtoto alipo? Wacha roho ya kishetani kwa vile aliyeleta hoja humpendi. CCM mna roho mbaya sana.Una hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.
Kama sijakosea kusoma ni kwamba huyu mtoto kapigwa na wenye mlimao na amepelekwa polisi hakuna aliyeona hilo tukiokama tatizo ni limao tu kwanini wananchi mpaka majirani wasimtetee wamuangushie kipigo? jiulize kwanza hapo
hapanja mkuu walimchangia watu wengi tu wanakijiji mpaka walitaka kumdedisha hivi kweli unaweza kusema ni limao tu?kuna kitu nyuma ya pazia watu wote hawawezi kuwa na akili mojaKama sijakosea kusoma ni kwamba huyu mtoto kapigwa na wenye mlimao na amepelekwa polisi hakuna aliyeona hilo tukio
Uhakika nilionao ni kwamba aliiba chupi za mmeo kwny kamba.