Askofu Mwamakula: Mwanafunzi wa kidato cha kwanza mwenye miaka 13 aswekwa Mahabusu kituo cha Polisi Kirumba

Mtoto anapotea, Bibi na mama hawamtafuti wamekaa kimya tu. Aliiba limao jirani au mtaani kwao...iweje taarifa zisimfikie bibi yake anaye ishi nae?
Huyo mtoto ni chokoraa hata akipotea hawajali na inaelekea huwa anapotea na kurudi.
Nadhani suala la msingi ni kuchanganywa na mahabusu watu wazima.

Sio mtoto wa kawaida huyo.
 
Mtoto anapotea, Bibi na mama hawamtafuti wamekaa kimya tu. Aliiba limao jirani au mtaani kwao...iweje taarifa zisimfikie bibi yake anaye ishi nae?
Huyo mtoto ni chokoraa hata akipotea hawajali na inaelekea huwa anapotea na kurudi.
Nadhani suala la msingi ni kuchanganywa na mahabusu watu wazima.
huyo amekubuhu sasa linatokea lijitu linajiita liaskofu feki kuja kutetea majitu yaliyoshindikana hajawahi kupingwa ngeta huyu anayejifanya askofu haiwezekani anaoishi nao wasimfuatilie kashindikana huyo
 
Pepo mchafu wewe.
Wenzako tuko serious wewe unaleta ushoga wako hapa.
Hoja ni kosa la kuchuma limao kukaa sell?
Hoja ni kwamba, ni sahihi mtoto kukaa mahabusu pamoja na wazee?

Wewe pimbi, huyo mtoto sio wa kawaida.
 
huyo
Kabisa mkuu. Na itakuwa imetumika busara kumuweka mahabusu ili kumnusuru na kifo. Mtaani wameshamchoka huyo.
wangemuua kabisa haiwezekani wamshambulie wanakijiji kwasababu ya limao kuna mengi kafanya huyo
 
"Kati ya mahabusu wa kiume 48 waliokuwepo katika Kituo cha Kirumba, kuna mtoto mwenye umri wa miaka 13. Mtoto huyu, alimsogelea Askofu na kumueleza kwa masikitiko kisa chake. Kwamba siku moja aliamua kuchuma limao moja katika mlimao wa jirani yake ili aweke kwenye dagaa ili ale. Jirani yake ambaye ni mwanamke pamoja na watoto wake walimshukia kwa kipigo kizito mtoto yule wakimshambulia kuwa ni mwizi.

Mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Johnson Frank, anasoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Ibungilo iliyoko Ilemela. Askofu anakumbuka kuwa mtoto yule alisema kuwa shuleni anajulikana kwa jina la Ibrahim Frank na kwamba anakaa na bibi yake kwani mama yake yupo Dar es Salaam. Bibi yake, Mama yake na hata Uongozi wa Shule yake hawajui kama yupo mahabusu. Lakini kwa umri kama ule mtoto kuchanganywa mahabusu na watu wazima ni jambo lililomuumiza sana Askofu.

Askofu anajiuliza kama Mwanza hakuna Mahabusu ya Watoto? Askofu anatoa wito kwa makundi ya kutetea haki za watoto kufika haraka sana katika Kituo cha Polisi Kirumba, Mwanza ili kuangalia namna ya kumsaida mtoto yule. Lakini pia mtoto yule anatakiwa kufanyiwa vipimo kwani alikuwa analalamika maumivu katika mkono wake wa kulia kutokana na kipigo alichokuwa ameshushiwa na mwenye mti wa mlimao. Mazingira hayakuruhusu kwa Askofu kupata picha ya mtoto yule." - Askofu Emmaus Mwamakula
Halafu majizi ya mali za umma,majambazi, muuaji na wabakaji kama akina Sabaya utasikia wanaachiwa huru kisa ni CCM na mtoto anafungwa, haya yataisha tu very soon,shame!
 
Una hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.
Iwe hata kama aliiba dhahabu au almasi au hata kama aliua...

Mtoto wa umri huo huwa hapaswi kuwekwa rumande ya watu wazima, pia mtu yoyote anayewekwa rumande ni lazima ndugu zake wapewe taarifa, imeelezwa pia huyo mtoto ana maumivu kwenye mkono na sidhani kama kapatiwa matibabu...
 
Kuna zaidi ya alilolisema Askofu katika story ya huyu mtoto.Police hata kama hawana busara kama inavyoaminika hawawezi kumweka mahabusu mtoto wa miaka 13 kwa kuiba limao tu.
 
Wewe na huyo askofu mwamakula mna uhakika huyo mtoto ana miaka 13? mumehakiki wapi?

pili mtoto huyo anasema shuleni anajulikana kama Ibrahim frank lakini mahabusu anajiita Johnson Frank kwa nini alibadili jina ghafla alipoingia mahabusu? akaandikisha jina tofauti kulikoni kama sio mhalifu mzoefu alikuwa anaficha nini? maana ASKOFU KASEMA HUYO MTOTO ALIJITAMBULISHA KWAKE KAMA JOHNSON FRANK wakati huko shule anajulikana kama Ibrahim FRank

Anaposema hakuna ajuaye yuko mahabusu watajuaje wakati kabadili jina alipoingia mahabusu
Yetu masikio.....ukweli utajulikana, hakuna aja ya kunyooshea vidole.........
 
Una hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.
Basi aliiba gari!!
Miaka 13 anawekwaje mahabusu ya watu wazima!!??
Ina maana hujaona hiyo hoja hapo!?? Samahani,kumbe nawe ni mmojawapo wa wale misukule mliotolewa ubongo!.
 
Una hakika kwamba ni kweli aliiba limao tu? Acheni kutoa bila kusikiliza upande wa pili.
OK, tuseme sio limao tu kaiba simu, nguo za ndani etc, je ni sahihi kuwekwa mahabusu ya Watu wazima? Je, ni sahihi kuwekwa mahabusu bila kupelekwa mahakamani. Nadhani uache kujitia ujuaji
 
Huko makanisani mwao wanapohubili huwa hawaulizi watu wenye shida ili wawasaidie kwa hizo sadaka na kufanya hao wenye shida kutoingia kwenye migogoro ya kisheria? Au mpaka wakutane mahabusu ndo waje kusimulia na kuona huruma kwa wenye shida?

Ni wajibu wa mwamakula kusaidia wenye shida kabla hawajaingia kwenye madhambi ya kujitafutia riziki.

Kwa kua ameamua kuwa mchungaji basi achunge na shida zao na sio kuwanyofoa kondoo sadaka bila kuwalisha kondoo wenye shida.
Sababu ya mtoto kujihusisha na wizi, ni kuporomoka kwa maadili katika nyumba za ibada! MaAskofu wanakwepa kazi zao za kuwaongoza wakina Frank makanisani, wanakutana nao mhabusu!
Amewaacha kondoo amekimbilia tumbo lake (siasa), unategemea nini? Msilaumu polisi tu! Angalia chanzo cha kuporomoka maadili., na mtoto badala ya kwenda kuomba limao kwa bibi yule akaamua kumwibia! Mtoto wa Miaka 13 anajua kuwa ni vibaya kuiba.
 
HA
Sababu ya mtoto kujihusisha na wizi, ni kuporomoka kwa maadili katika nyumba za ibada! MaAskofu wanakwepa kazi zao za kuwaongoza wakina Frank makanisani, wanakutana nao mhabusu!
Amewaacha kondoo amekimbilia tumbo lake (siasa), unategemea nini? Msilaumu polisi tu! Angalia chanzo cha kuporomoka maadili., na mtoto badala ya kwenda kuomba limao kwa bibi yule akaamua kumwibia! Mtoto wa Miaka 13 anajua kuwa ni vibaya kuiba.
WA MAASKOFU FAKE NDIYO WANAA HARIBU MAAADILI BADALA YAKE WANAKUTANA SERO DA MKUU UMEFIKIRIA MBALI SANA NI KWELI TUPU WANGEWAFUNDISHA WAUMINI KUWA KUIBA DHAMBI ASINGEKAMATWA NA YEYE ASINGEENDA MAHABUSU KAMA ANGEFANYA KAZI YAKE TU SIYO SIASA
 
Polisi wanamshikilia huyo mtoto siku zote mahabusu bila aibu, kisa chenyewe limao, kwani limao shilingi ngapi?

Hawa polisi wetu wanatakiwa kupelekwa mahala wakapigwe msasa wajue haki za raia na makundi tofauti, huyo mtoto watakuwa wameshamuharibu kisaikolojia kwa ujinga wao.
Wanajua tu kutoa kipigo
 
Mtoto huyo ni mdogo Sana,kosa zaidi ni kuchanganywa na watu wakubwa,kwani siku hizi wakuu wa vituo na wilaya hawakaguwi vyumba vya mahabusu? Watu wa haki za binadamu mko wapi.
 
"Kati ya mahabusu wa kiume 48 waliokuwepo katika Kituo cha Kirumba, kuna mtoto mwenye umri wa miaka 13. Mtoto huyu, alimsogelea Askofu na kumueleza kwa masikitiko kisa chake. Kwamba siku moja aliamua kuchuma limao moja katika mlimao wa jirani yake ili aweke kwenye dagaa ili ale. Jirani yake ambaye ni mwanamke pamoja na watoto wake walimshukia kwa kipigo kizito mtoto yule wakimshambulia kuwa ni mwizi.

Mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Johnson Frank, anasoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Ibungilo iliyoko Ilemela. Askofu anakumbuka kuwa mtoto yule alisema kuwa shuleni anajulikana kwa jina la Ibrahim Frank na kwamba anakaa na bibi yake kwani mama yake yupo Dar es Salaam. Bibi yake, Mama yake na hata Uongozi wa Shule yake hawajui kama yupo mahabusu. Lakini kwa umri kama ule mtoto kuchanganywa mahabusu na watu wazima ni jambo lililomuumiza sana Askofu.

Askofu anajiuliza kama Mwanza hakuna Mahabusu ya Watoto? Askofu anatoa wito kwa makundi ya kutetea haki za watoto kufika haraka sana katika Kituo cha Polisi Kirumba, Mwanza ili kuangalia namna ya kumsaida mtoto yule. Lakini pia mtoto yule anatakiwa kufanyiwa vipimo kwani alikuwa analalamika maumivu katika mkono wake wa kulia kutokana na kipigo alichokuwa ameshushiwa na mwenye mti wa mlimao. Mazingira hayakuruhusu kwa Askofu kupata picha ya mtoto yule." - Askofu Emmaus Mwamakula
Kwanini aibe afungwe tu utoto wake auhalalishi udokozi
 
Balaa, kwa kuwa Askofu ameyaongea kesho watamwachia. Polisi wawe wanatumia busala
Askofu alikosea, alitakiwa achukue maelezo ili angalau awasiliane na shule yake au na bibi yake, mimi nimekutana watu wa aina hiyo mara nyingi na niliwasaidia kwa kuwajulisha wahusika
 
"Kati ya mahabusu wa kiume 48 waliokuwepo katika Kituo cha Kirumba, kuna mtoto mwenye umri wa miaka 13. Mtoto huyu, alimsogelea Askofu na kumueleza kwa masikitiko kisa chake. Kwamba siku moja aliamua kuchuma limao moja katika mlimao wa jirani yake ili aweke kwenye dagaa ili ale. Jirani yake ambaye ni mwanamke pamoja na watoto wake walimshukia kwa kipigo kizito mtoto yule wakimshambulia kuwa ni mwizi.

Mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina la Johnson Frank, anasoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Ibungilo iliyoko Ilemela. Askofu anakumbuka kuwa mtoto yule alisema kuwa shuleni anajulikana kwa jina la Ibrahim Frank na kwamba anakaa na bibi yake kwani mama yake yupo Dar es Salaam. Bibi yake, Mama yake na hata Uongozi wa Shule yake hawajui kama yupo mahabusu. Lakini kwa umri kama ule mtoto kuchanganywa mahabusu na watu wazima ni jambo lililomuumiza sana Askofu.

Askofu anajiuliza kama Mwanza hakuna Mahabusu ya Watoto? Askofu anatoa wito kwa makundi ya kutetea haki za watoto kufika haraka sana katika Kituo cha Polisi Kirumba, Mwanza ili kuangalia namna ya kumsaida mtoto yule. Lakini pia mtoto yule anatakiwa kufanyiwa vipimo kwani alikuwa analalamika maumivu katika mkono wake wa kulia kutokana na kipigo alichokuwa ameshushiwa na mwenye mti wa mlimao. Mazingira hayakuruhusu kwa Askofu kupata picha ya mtoto yule." - Askofu Emmaus Mwamakula
This is sad, huyo mwanamke aliemfanyie hivyo mtoto wa mwenzie kisa limao Mungu atamlipa. Mtoto wa miaka kumi na tatu alipaswa amuweke chini amuonye na amuelekezenkwamba akitaka kitu aombe badala ya kuchukua vitu vya watu
 
Back
Top Bottom