Mtoto anapotea, Bibi na mama hawamtafuti wamekaa kimya tu. Aliiba limao jirani au mtaani kwao...iweje taarifa zisimfikie bibi yake anaye ishi nae?
Huyo mtoto ni chokoraa hata akipotea hawajali na inaelekea huwa anapotea na kurudi.
Nadhani suala la msingi ni kuchanganywa na mahabusu watu wazima.
Sio mtoto wa kawaida huyo.