Askofu Muuza Unga Alivyodakwa

Askofu Muuza Unga Alivyodakwa

Tunataka viongozi wa DINI siyo huyu Askofu Mkuu wa Kanisa la Lord Choose Charismatic Revived Church, Chidi Okechu
 
pesa wanazowatapeli kondoo wao hazitoshi mpaka Roho Mtakatifu awapeleke kwenye biashara ya unga

Nikupe ushauri wa bure. Unapoongea kuhusu biashara hizi haramu acha, acha kabisa kumshirikisha Roho Mtakatifu katika uchafu huu. Tena tubu na kutetemeka kwa ajili ya kumkufuru Roho Mtakatifu kwa sababu adhabu yake ni kubwa. Ni ushauri wa bure uwe huru kuupokea au kuukataa
 
Kuwa objective kwa kujibu hoja!! sio bra bra na kujalibu kuwa defensive with no reason! tuonyeshe nguvu yako ya hoja au na wewe ndio wale Dr. masaburi aliosema mnatumia sijui nini...........kufikiria!
 
teh teh mlikuwa mnamuona mh Rais amekurupuka aliwachukulia staha mkaona mumpande kichwani, endelea kuwafyatua JK nakuaminia watakuelewa tu wenyewe muda si mrefu baba!
Bakwata haiongozwi na Roho Mtakatifu wanaongozwa na Roho ya Nyerere aliyeiunda .

Mumenaswa pabaya kumbe viroba vya unga vimo kanisani
 
teh teh mlikuwa mnamuona mh Rais amekurupuka aliwachukulia staha mkaona mumpande kichwani, endelea kuwafyatua JK nakuaminia watakuelewa tu wenyewe muda si mrefu baba!
<br />
<br />
 
Nikupe ushauri wa bure. Unapoongea kuhusu biashara hizi haramu acha, acha kabisa kumshirikisha Roho Mtakatifu katika uchafu huu. Tena tubu na kutetemeka kwa ajili ya kumkufuru Roho Mtakatifu kwa sababu adhabu yake ni kubwa. Ni ushauri wa bure uwe huru kuupokea au kuukataa

Kwanini adhabu yake iwe ni kubwa kwani anacheo gani huyu kiumbe????
 
Kama ni kweli kwanini Serikali inachukua muda kuchukua hatua na kuwaweka hadharani?
 
at last end has justified the means 'Askofu Mkuu wa Kanisa la Lord Choose Charismatic Revived Church, Chidi Okechu. Jamani mwenye picha japo moja ya huyo askofu wa kughushi akiwa kwenye mwaliko wa mkulu ikulu katika mwaliko wowote ambao mkulu amewahi alika maaskofu,hii itasaidia wengine tufahamu kama ni kweli aliposema viongozi wa dini alimaanisha viongozi wa madhehebu ya aina hii...WIZI MTUPU
 
Ni kweli uyasemayo, lakini hoja kubwa hapa ni Matamshi ya PENGO kumkejeli Rais kana kwamba viongozi wake ni wasafi woooooteeee.
<br />
<br />
Kweli sio siri mie mkiristo lakini kauli ya Pengo ilinisikitisha sana, hata kama kiongozi wa nchi humpendi huyo ndo kiongozi wa nchi kwa sasa na vyombo vyote vya usalama vinaripoti kwake na inawezekana kabisa ndo mtu pekee nchini ambaye yuko well informed katika maswala yote kuliko yeyote mwingine.

Viongozi wa dini wanatakiwa kujua wao ni viongozi wa sehemu tu ya watanzania lakini mwenzao ni kiongozi wa watanzania wote including wao kwa mujibu wa katiba ya Tanzania.
 
teh teh mlikuwa mnamuona mh Rais amekurupuka aliwachukulia staha mkaona mumpande kichwani, endelea kuwafyatua JK nakuaminia watakuelewa tu wenyewe muda si mrefu baba!
HTML:

Ni lini Rais au hata kiongozi yeyote serikalini aliwahi kualikwa kwenye kuwekwa wakfu askofu huyu?
Hivi hata mimi leo nikijitangazia kuwa Askofu inakubalika? Jamani tuwe realistic na haya makanisa yanayoota kama uyoga kila kukicha.
Nataka Rais ataje maaskofu au viongozi wa DINI siyo hawa matapeli wa DINI.
 
Nilishangaa kitendo cha Pengo kuweweseka au na yeye.....???
 
Nakusikitikia sana ndugu yangu kufanya mzaa na uungu wa Mungu. Kama ni matani fanya na hao waliomdhiaki Mungu lakini sio na Mungu kwa sababu sio saizi yako na wala sio saizi kwa mtu yoyote yule. Kama umekosa wa kumtania na kumdhiaki unaweza ukajitania na kujidhiaki wewe mwenyewe.
 
munatoka katika hoja kuu. nayo ni askofu muuza unga akamatwa, sasa unapopinga kuwa askofu muuza unga hajakamatwa na kuamua kutoa shutuma za laana dhidi ya Uislamu na kiongozi mkuu wa Umma huu utakuwa unatoka nj ya mada. lengo la serikali ni kudhibiti madawa ya kulevya kwa maana hiyo hakuna kinga ya jina wala cheo wana nini. awe Askofu, Sheikh, Kadinali, Matawa, Mchungaji au kiongozi wa kihindu au Buddha wote wakigundulika watakamatwa tu. hongera sana serikali kwa kutimiza kazi yake nzuri. Tupo nyuma yao tutawasaka popote watakapojificha hata kama watakuwa ndani ya mahekalu yao
 
image001.jpg




Wabunge, walikwenda mbali zaidi na kushauri viongozi wote wa dini wauza unga wanyongwe.
 
hahahaha....... PENGO anazeeka vibaya na kuingilia siasa za nchi .... si alisema JK hana ushahidi na kama anao kwa nini asiwekamate....
 
Kwanini tusianzie na Hayati Muham-mad pbuh mwanzilishi wa Isilamu kwa jinsi alivyo kuwa anabaka kale katoto ka miaka 6, Ayeesha? Hivi weye unafuata yule kiumbe pedophile anaye baka watoto wa miaka 6?

Kwanini tusingalie jinsi Hayati Muham-mad pbuh (mwanzilishi wa Isilamu) alivyo kuwa anakwiba kwa Wayahudi na kugawana wanawake zao?

Kwanini tusimwangalie Hayati Muha-mad pbuh mwanzilishi wa Isilamu kwa jinsi alivyo kuwa anakwiba kutoka kwa Khadija mke wake mzee?

Acheni maskharah nyie wafuasi wa HAYATI MWAMEDI pbuh mwanzilishi wa ISILAMU bana.

Fadha mbona unachanganya taarifa..issue iliyopo mezani ni viongozi wa dini kupatikana ushahidi kwamba kwa namna moja ama nyingine wamekua wakijihusisha na biashara ya mihadarati,hapa ni baadhi ya viongozi wa dini zote wanatuhumiwa isipokua ushahidi umepatikana kwanza kwa hao wachungaji wa kilokole...sasa ya huyo muarabu wa saudia arabia yanatokea wapi?issue hapa serikali imefanya kazi yake ipongezwe
 
Back
Top Bottom