Askofu Mokiwa: Bunge la Katiba linaloendelea ni uhaini na ubatili mtupu

Watatuletea tu kwa sababu wanajua tunaogopa police,risasi na mabomu.Hizi kelele wao wanaona ni sawa na kelele za mlango.Nilishasema huko nyuma kama wachache hatutakubali kufa kwa ajiri ya Taifa hili basi tukae kimya tu-wafanye watakalo

Kweli mkuu,watanzania niwatu wakuongea tu hatuchukui hatua ndio mana wanafanya wanavyotaka
 
Kafiri povu linakutoka ... usitake niongee unalotaka ww .. maza fanta
Hapakuwa na sababu yakutukana. Hata kama hukupata malezi mazuri utotoni, basi ni vema ukajifunza ustaarabu katika utu uzima wako.
 
Aliyekuwa askofu wa kanisa la Anglikana Tanzania, Askofu MOKIWA amesema kuwa bunge la katiba linaloendelea mijini Dodoma ni ubatili na ukatili kwa Taifa hili. Amesema kuwa wapenda amani wamekwisha sema na kuonya na Jukwaa la kikristo limetoa maonyo sana ila anashangaa kuna watu vichwa ngumu bado wanaendelea kung'ang'ania mambo yao. Ameendelea kutoa maonyo kwa kusema, kama bunge la katiba wanadhani wana haki na sifa za kuendelea na kikao basi wasituletee KATIBA AMBAYO HATUKUIPENDEKEZA.

Source: EATV KURASA LEO SAA MOJA JIONI

- Sasa mbona bado kuna muwakilishi wa mashirika ya Dinia Askofu Mtemelwa ina maana huyo Askofu mwenzake ni mhaini huyu Mokiwa kwani ni Askofu wa wapi?


Le Mutuz
 
- Sasa mbona bado kuna muwakilishi wa mashirika ya Dinia Askofu Mtemelwa ina maana huyo Askofu mwenzake ni mhaini huyu Mokiwa kwani ni Askofu wa wapi?


Le Mutuz

Shikamoo Mzee. Wewe mzee umechoka kweli, yule sio Askofu Mtemelwa ila ni Mtetemela. Najua uzee ndio unakuchanganya, mikono inatetemeka na macho yanapoteza uwezo. Miaka 55+ sio mchezo, ungekuwa mtumishi wa umma ungekuwa unastaafu sasa. Back to the mada, ni hivi....Wale maaskofu waliopo ndani ya bunge la katiba walichaguliwa kwasababu ya wana vinasaba na Chukua Chako Mapema aka CCM. Na ndio maana even their opinions are very close to CCM members like you. Ni full majanga!!!
 
Aliyekuwa askofu wa kanisa la Anglikana Tanzania, Askofu MOKIWA amesema kuwa bunge la katiba linaloendelea mijini Dodoma ni ubatili na ukatili kwa Taifa hili. Amesema kuwa wapenda amani wamekwisha sema na kuonya na Jukwaa la kikristo limetoa maonyo sana ila anashangaa kuna watu vichwa ngumu bado wanaendelea kung'ang'ania mambo yao. Ameendelea kutoa maonyo kwa kusema, kama bunge la katiba wanadhani wana haki na sifa za kuendelea na kikao basi wasituletee KATIBA AMBAYO HATUKUIPENDEKEZA.

Source: EATV KURASA LEO SAA MOJA JIONI
Mpaka alie,bunge litaendelea mpaka tarehe 4,apende asipende.
 
HAWA MAASKOFU NDIO WALIOMBEBA SLAA UCHAGUZI 2010 BAADA YA KUTOA WARAKA,SASA WANACHOKITAKA UPANDE WA PILI TUMEKIJUA,SISI WOTE NI WATANZANIA.NCHI UNAZOSIKIA WANACHINJANA INAANZA HIVIHIV?i

Kuchinjana kunaanza na kauli kama yako na yanayoendelea BMK wala si tamko la MOKIWA.
 
Angesema sheikh angeambiwa mchochezi na anachanganya dini na siasa ...

mbona mnapiga kelele waweke mahakama ka kadhi kwenye katiba hatujasesema mnachanganya. Au chuki tu na wakristo unatafuta sababu ya kudhihilisha ubaguzi wako.
 
Aliyekuwa askofu wa kanisa la Anglikana Tanzania, Askofu MOKIWA amesema kuwa bunge la katiba linaloendelea mijini Dodoma ni ubatili na ukatili kwa Taifa hili. Amesema kuwa wapenda amani wamekwisha sema na kuonya na Jukwaa la kikristo limetoa maonyo sana ila anashangaa kuna watu vichwa ngumu bado wanaendelea kung'ang'ania mambo yao. Ameendelea kutoa maonyo kwa kusema, kama bunge la katiba wanadhani wana haki na sifa za kuendelea na kikao basi wasituletee KATIBA AMBAYO HATUKUIPENDEKEZA.

Source: EATV KURASA LEO SAA MOJA JIONI

Ana hasira za kutochaguliwa bunge la katiba.Alikuwa akililia apewe alipopewa ubunge wa katiba ASKOFU Mtetemelwa alilalamika sana.Njaa mbaya mno hasa kwa mtu wa kiwango chake yeye aliyekuwa askofu mkuu.
 
Shikamoo Mzee. Wewe mzee umechoka kweli, yule sio Askofu Mtemelwa ila ni Mtetemela. Najua uzee ndio unakuchanganya, mikono inatetemeka na macho yanapoteza uwezo. Miaka 55+ sio mchezo, ungekuwa mtumishi wa umma ungekuwa unastaafu sasa. Back to the mada, ni hivi....Wale maaskofu waliopo ndani ya bunge la katiba walichaguliwa kwasababu ya wana vinasaba na Chukua Chako Mapema aka CCM. Na ndio maana even their opinions are very close to CCM members like you. Ni full majanga!!!

- hahahahahaa kwanza sina huo umri maana Mwenyekiti wako wa Chadema ni mkubwa kuliko mimi ingawa tumekua wote, na pili hata ingekuwa kweli unasema miaka 55 ni mtu asiyefaa kabisa on anything sasa vipi kuhusu Mgombea wako wa Urais Dr. Slaa mwenye miaka 75 na hana mke na anataka urais I mean mbona unajishusha hadhi mkuu na maneno ambayo hujayapima I mean una maana Mbunge wako Ndesamburo unamuweka wapi na haya mambo ya umri mkuu? hahahahahaha

- Mokiwa ni mbunge au ni Askofu? Akiwa Askofu aliwahi kufanya nini kikubwa kwa wananchi au ndio njaa anatafuta mlo huko UKAWA? hahahahahaha

Le Mutuz
 
Ana hasira za kutochaguliwa bunge la katiba.Alikuwa akililia apewe alipopewa ubunge wa katiba ASKOFU Mtetemelwa alilalamika sana.Njaa mbaya mno hasa kwa mtu wa kiwango chake yeye aliyekuwa askofu mkuu.

- Kumbe alinyimwa mlo hahahahahahahaha ndio maana ana kelele sana yaani debe tupu!1

Le Mutuz
 
Shikamoo Mzee. Wewe mzee umechoka kweli, yule sio Askofu Mtemelwa ila ni Mtetemela. Najua uzee ndio unakuchanganya, mikono inatetemeka na macho yanapoteza uwezo. Miaka 55+ sio mchezo, ungekuwa mtumishi wa umma ungekuwa unastaafu sasa. Back to the mada, ni hivi....Wale maaskofu waliopo ndani ya bunge la katiba walichaguliwa kwasababu ya wana vinasaba na Chukua Chako Mapema aka CCM. Na ndio maana even their opinions are very close to CCM members like you. Ni full majanga!!!

Utamuua mzee wa watu, mlegezee, maana umemchana mpaka basi
 
- hahahahahaa kwanza sina huo umri maana Mwenyekiti wako wa Chadema ni mkubwa kuliko mimi ingawa tumekua wote, na pili hata ingekuwa kweli unasema miaka 55 ni mtu asiyefaa kabisa on anything sasa vipi kuhusu Mgombea wako wa Urais Dr. Slaa mwenye miaka 75 na hana mke na anataka urais I mean mbona unajishusha hadhi mkuu na maneno ambayo hujayapima I mean una maana Mbunge wako Ndesamburo unamuweka wapi na haya mambo ya umri mkuu? hahahahahaha

- Mokiwa ni mbunge au ni Askofu? Akiwa Askofu aliwahi kufanya nini kikubwa kwa wananchi au ndio njaa anatafuta mlo huko UKAWA? hahahahahaha

Le Mutuz

Wewe mzee nakushangaa sana. Hivi hao unaowataja wameingiaje hapa? Mbowe, Dr Slaa, Ndesamburo wameingiaje? Ndio maana nasema unazeeka vibaya wewe kibabu. Kwanini usipambane na mimi unaanza kuwahusisha watu hapa. Wewe uliyemtekeleza mkeo hapa Marekani na kukimbilia Tanzania na kusambaza umeme kwa vitoto vidogo unaona sawa? Wewe ni mtu wa ajabu sana. Mtu mwenye umri wa miaka 55+ unaanza kuleta utoto hapa.
 
- hahahahahaa kwanza sina huo umri maana Mwenyekiti wako wa Chadema ni mkubwa kuliko mimi ingawa tumekua wote, na pili hata ingekuwa kweli unasema miaka 55 ni mtu asiyefaa kabisa on anything sasa vipi kuhusu Mgombea wako wa Urais Dr. Slaa mwenye miaka 75 na hana mke na anataka urais I mean mbona unajishusha hadhi mkuu na maneno ambayo hujayapima I mean una maana Mbunge wako Ndesamburo unamuweka wapi na haya mambo ya umri mkuu? hahahahahaha

- Mokiwa ni mbunge au ni Askofu? Akiwa Askofu aliwahi kufanya nini kikubwa kwa wananchi au ndio njaa anatafuta mlo huko UKAWA? hahahahahaha

Le Mutuz

Askofu angeangazia mambo yanayohusu kanisa ktk katiba.
MFANOnini kifanyike endapo katiba inayopendekezwa itakuwa na vipengele vya ndoa za jinsia moja au mahakama za kidini
 
Back
Top Bottom