only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,526
Aliyekuwa askofu wa kanisa la Anglikana Tanzania, Askofu MOKIWA amesema kuwa bunge la katiba linaloendelea mijini Dodoma ni ubatili na ukatili kwa Taifa hili. Amesema kuwa wapenda amani wamekwisha sema na kuonya na Jukwaa la kikristo limetoa maonyo sana ila anashangaa kuna watu vichwa ngumu bado wanaendelea kung'ang'ania mambo yao. Ameendelea kutoa maonyo kwa kusema, kama bunge la katiba wanadhani wana haki na sifa za kuendelea na kikao basi wasituletee KATIBA AMBAYO HATUKUIPENDEKEZA.
Source: EATV KURASA LEO SAA MOJA JIONI
Source: EATV KURASA LEO SAA MOJA JIONI