Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Dawa ni kuimarisha idara ya uhamiaji na taasisi zingine zinazohusika. Kama ufisadi ulikuwa wa kiwango hicho, ni afadhali wenye passport wote waitwe na kuhojiwa (tukianza na raia # 1 wa magogoni street); taasisi zisafishwe na kujengewa uwezo.Ulofa ni kusahau kuwa nchi ilikuwa kwenye wimbi la ufisadi...na kwamba mtu angeweza kupata pasi hata kama sio raia.
Endeleeni kufuga hilo chatu huku mkichekelea mimeno kama ngiri. Limemalizana na vyama vya upinzani, limeanza na viongozi wa dini. Jioneni ninyi CCM ni watu SPECIAL sana. DHALIMU hana RAFIKIUlofa ni kusahau kuwa nchi ilikuwa kwenye wimbi la ufisadi...na kwamba mtu angeweza kupata pasi hata kama sio raia.
Nenda kawaambie uhamiaji ili wamuondoe Tanzaniakakobe ni mtu wa Gabon mbona inajulikana hii
Uliitwa lini uhamiaji???Huwa nawaza nyinyi CCM akili zenu mmeziweka wapi???Hiyo ni kawaida sioni kama kuna la kushangaza hapo...
Ufisadi ni pamoja na kuuza nyumba za serikali,kununua kivuko kibovuUlofa ni kusahau kuwa nchi ilikuwa kwenye wimbi la ufisadi...na kwamba mtu angeweza kupata pasi hata kama sio raia.
Chama gani hicho kilicholeta ufisadi Tz, tunashukuru mkuu hakuwa kwenye chama hichoUlofa ni kusahau kuwa nchi ilikuwa kwenye wimbi la ufisadi...na kwamba mtu angeweza kupata pasi hata kama sio raia.
Hahahaaaa!!!mkuu nimeipenda akili yako jinsi unavyoandika mamboChama gani hicho kilicholeta ufisadi Tz, tunashukuru mkuu hakuwa kwenye chama hicho
Ahh ndio maana nasema sifa yetu ya uzalendo ni mbaya. Yaani bwege, zuzu, mjinga, muoga nk hizo ndizo sifa za mTz halisi. Nagundua kwanini elimu yetu isivyosaidia watu wake. Nini maana ya viongozi na watawala kuwapenda watu wasiohoji chochote?! UJINGANadhani aliandika pascal Mayala kwamba watu wa Dodoma ndio watanzania halisi, kwa kigezo kuwa wapo centre. Si unaziona akili zao? uvivu, kuomba omba, kukipenda chama cha kijani...huo ndio utanzania.
Ila huku mipakani kuna watu wabishi, majasiri wenye kuthubutu, si unawakumbuka wamakonde na gesi yao? na mchango wao kwenye mapinduzi ya Zanzibar.
Serikali inawajua watu wake halisi.
Waha hawana tabia kama za kakobe, kakobe sio muhaUkitaka kujua kakobe ni wa wapi nenda Kijiji cha MBIZI, Kata ya Kakonko, wilaya ya Kakonko na Mkoa kigoma - mtakuta kila aina ya ushahidi kuwa Kakobe ni muha, tokeni kijiji cha MBIZI nendeni Kanyonza - pale hojini familia ya Magambo nao watawathbitishia kuwa kakobe ni MUHA