Namjua alikuwa mtumishi wa serekali idara ya hali ya hewa nkWewe unamjua?
Namjua alikuwa mtumishi wa serekali idara ya hali ya hewa nkWewe unamjua?
Huna ufahamu wa mambo ya kimungu. Hapo unamfananisha Mungu . Ndimi bwana Mungu wako usiabudu kakobe, Adhabu yake ni moto wa milele. Kakobe is nothing kwa Mungu. Atazikwa na kuoza, na foleni ya hukumu aifuata. Futa kauli yako , ama wewe unashiriki dhambi kuu.Kushindana na baba askofu kakombe ni sawa na kushindana na mungu mwenyewe
sasa utamfanya nini kama ni Evil? Zero brain hawana alternatives za kuishi na Evil person. Pole , inaonekana wewe malaika? Au Zero brain ? Dunia ina watu wengi , kati yao na wewe upo. Jaribu kujitoa kwenye hukumu yao tafuta kuishi nao wote, Utapata furaha daima. Evil and Good are all together inside a human personHakuna Jema Lolote hata Ikiwa Ni Kujikata Nyama Uwape watu wale, Kitakachompa Mtu Uhalani wa Kuchukua UHURU na HAKI zao Za Kikatiba. Magufuli is EVIL PERIOD! Hata Id Amin Alikuwa Hivyo hivyo Mchana Alijifanya Kipenzi Cha Watu Wakati Usiku ni BUTCHER!
Yakiganda yote, wasiojulikana huweza fanya yaoSimple logic ulishawaona wapi MTU mwenye ishu za utata asie clean akaongea, wasio clean ukaa kimya kuogopa kukutwa na hatia na kusumbuliwa.Baada ya TRA kuambulia patupu naona ni zamu ya uhamiaji kupewa za USO.Sijui watatumia silaha ipi nyingine,shida huwa wakishapewa za uso kimya hawaleti mirejesho.
Ulofa ni kuamini kuwa kila mnayetofautiana mitazamo ni raia wa kigeni.Ulofa ni kusahau kuwa nchi ilikuwa kwenye wimbi la ufisadi...na kwamba mtu angeweza kupata pasi hata kama sio raia.
TRA kakobe alilwalipa milioni 58 alizokwepa kodi pia TRA waligundua kuwa pesa za kanisa za safari za nje anazitumia yeye na familia yake tu pia wakagundua kuwa pesa za kanisa zinatumika kujenga nyumba binafsi ya mkewe utasemaje kakobe hana issue tata?Simple logic ulishawaona wapi MTU mwenye ishu za utata asie clean akaongea, wasio clean ukaa kimya kuogopa kukutwa na hatia na kusumbuliwa.Baada ya TRA kuambulia patupu naona ni zamu ya uhamiaji kupewa za USO.Sijui watatumia silaha ipi nyingine,shida huwa wakishapewa za uso kimya hawaleti mirejesho.
Acha umbea dume utaolewaNadhani aliandika pascal Mayala kwamba watu wa Dodoma ndio watanzania halisi, kwa kigezo kuwa wapo centre. Si unaziona akili zao? uvivu, kuomba omba, kukipenda chama cha kijani...huo ndio utanzania.
Ila huku mipakani kuna watu wabishi, majasiri wenye kuthubutu, si unawakumbuka wamakonde na gesi yao? na mchango wao kwenye mapinduzi ya Zanzibar.
Serikali inawajua watu wake halisi.
Kamishna Mkuu wa TRA aliufunga mjadala wa kodi. Hii sasa ni hoja ya uhamiaji na usikute imesababishwa na bandiko hiliTukio hili linakuja baada ya sekeseke kati ya Askofu huyo na TRA, kuhitimishwa tarehe 20.2.2018, siku ambayo Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Kichere, alipotoa taarifa kwa umma juu ya uchunguzi wao; na baadaye kusema mjadala huo umefungwa.
Je na wewe ni raia?Ulofa ni kusahau kuwa nchi ilikuwa kwenye wimbi la ufisadi...na kwamba mtu angeweza kupata pasi hata kama sio raia.
Acha umbea dume utaolewa
Wakimaliziana naye ataitwa Afya akachunguzwe mkonowasweta akipatikana nao, ndani ya ndege ya kwanza out.Raia halisi wanahojiwa lakin wengine wale wahamiaji hata hawasumbuliwi kabisaaaaa
kisinja, hivi wewe unaelewa nini kuhusu neno Askofu linapotajwa, hasa tukizingatia kwa upande wa Wakristo? Kama kuna chochote unachoelewa niambie, kama labda hujui, pia niambie mimi nitakuelezea ninavyofahamu.Wakati mwingine huwa nawaza tu....Ivi Kakobe nae huwa ni ASKOFU? Tufike mahali tuelewe hizi tofauti na hadhi ya UASKOFU sio kuiga tu.