Point, nami nasema hajazaliwa wala hatazaliwaHabari wakuu.
Huu ndio ujumbe alioutoa Mtumishi wa Mungu, Mchunga kondoo wa Bwana Mungu wa Majeshi (07 June 2018)
Hajawahi kutokea kiumbe ama binadamu yoyote, mwenye cheo chochote, ama ulinzi wowote anaedhani kwake ni fahari kulitisha Kanisa ama kulitikisa.
Kiumbe huyo ama kiongozi huyu hajazaliwa wala hatazaliwa.
Askofu Dr. Fredrick Shoo
Mkuu wa Kanisa KKKT
07 Juni 2018
MUNGU wa Majeshi yupo naye.DR. SHOO! Phd halisi kazini!
phd za kubumba wenye akili duni hawezi kumtikisa Baba Askofu DR. SHOO.
AMEN.
Wamejifungia chumbani wanachungulia dirishani....Nasikia miccm imekana leo huo waraka wa msajili
Ukiwa kama polepole inabidi utengwe. Ni hatari kuliko ukoma.Polepole kapongeza zote mbili,ya kutishia kufuta kapongeza na ya leo ya kubatilisha kapongeza
Wapo chumbani wanachungulia dirishani, akina polepoleHuu ujumbe umekuwa mwiba kwa wahuni walioko serikalini hadi kuamua kukana barua yao walioituma kwenda kkkt
...ongezea na hakahako ka kipande ka twiter unge kasikirini shoti mkuuu
Hajazaliwa na hatazaliwa......ongezea na haka View attachment 798089
Hiyo unayoiita mipasho imemuibua waziri na mtu tayari Kibarua kimeota nyasi...Ila japo na-support ule Waraka wa KKKT....Ni bora Askofu Shoo angekaa kimya kulikoni hii mipasho anayoitoa....
"Speech is Silver, but Silence is Gold"....By Pope Francis
AmenBaba Askofu, Mwenyezi Mungu akulinde na akuepushe na hila zote za binadamu waliojivika utukufu wa bandia. Amen
Hajazaliwa na hatazaliwa ni neno zito sana. Wapo lumumba chumbani wanachungulia dirishaniHiyo unayoiita mipasho imemuibua waziri na mtu tayari Kibarua kimeota nyasi...
Habari wakuu.
Huu ndio ujumbe alioutoa Mtumishi wa Mungu, Mchunga kondoo wa Bwana Mungu wa Majeshi (07 June 2018)
Hajawahi kutokea kiumbe ama binadamu yoyote, mwenye cheo chochote, ama ulinzi wowote anaedhani kwake ni fahari kulitisha Kanisa ama kulitikisa.
Kiumbe huyo ama kiongozi huyu hajazaliwa wala hatazaliwa.
Askofu Dr. Fredrick Shoo
Mkuu wa Kanisa KKKT
07 Juni 2018
Huyu shoo atafikia muda atakuwa SooHabari wakuu.
Huu ndio ujumbe alioutoa Mtumishi wa Mungu, Mchunga kondoo wa Bwana Mungu wa Majeshi (07 June 2018)
Hajawahi kutokea kiumbe ama binadamu yoyote, mwenye cheo chochote, ama ulinzi wowote anaedhani kwake ni fahari kulitisha Kanisa ama kulitikisa.
Kiumbe huyo ama kiongozi huyu hajazaliwa wala hatazaliwa.
Askofu Dr. Fredrick Shoo
Mkuu wa Kanisa KKKT
07 Juni 2018
Hawezi kuacha kukemea maovu eti tu kwa sababu ya kuwafurahisha watu kama wewe.Huyu shoo atafikia muda atakuwa Soo
Sijawahi ona askofu mpenda siasa na majibizano ya Twitter /Instagram kama huyu
Nachomwomba Mungu atupe uzima kushuhudia tambo zake
Mbona umekurupuka , kuna maovu gani? Anayokemea huyo Mwanasiasa askofu?Hawezi kuacha kukemea maovu eti tu kwa sababu ya kuwafurahisha watu kama wewe.