Askofu Millingo hawezekaniki?

Kwa kuwa amekuwa mlei (kisheria) matendo yote anayoyafanya ya daraja takatifu (la kiaskofu) yatakuwa valid kwa sababu ya character ambayo haifutiki LAKINI yatakuwa illegal na yasiyotambulikana na Kanisa. Kumbe akisoma Misa mbele ya Kanisa Misa hiyo haitambuliwi kama Misa halali hata kama katika undani wake itakuwa valid. Akipadirisha au kutoa uaskofu wale waliopewa wanahesabiwa ni walei Tu mbele ya Kanisa (au wenye daraja la nyuma kabla ya huyu jamaa kuwapa hili la sasa) hata kama katika undani wake watakuwa wamepata daraja husika kama alifanya kile ambacho Kanisa hukifanya kwa uhalali wa sakramenti. Kumbe hawatatambuliwa kama ni mapadri au maaskofu, matendo yao watakayoyafanya yatakuwa hayana effect mbele ya Kanisa.

Mkuu, jaribu kuchagua maneno ya kutumia. Kisheria na hata kiteolojia Milingo hawi mlei. Ukinitajia kifungu chochote cha sheria ndani ya kanisa hilo kinachosema sasa Milingo amekuwa mlei Naacha uanachama wa Jamii Forum. Na atakayeniita mimi kilaza Moderator asimzuie kwani nitakuwa nimekuwa kilaza kweli.

Kazi kwako na kwa yeyote anayetaka kunithibitishia hilo kwamba sasa Milingo amekuwa mlei.
 
mungu alilifanya taifa lake lishiriki ukuhani wa yesu. Hivyo hata mlei nashiriki ukuhani huo achilia mbali askofu. Cha kurekebisha katika kauli yangu ni neno ushiriki wa ukuhani lakini kila kitu kinabaki vilevile.

kwani askofu ndiyo nani na mlei ndio nani??? Ni categories tu zilizotungwa na wanadamu tu kujilindia ulaji na utukufu wa hapa duniani ili wengine wasifikie bila ridhaa yao (control mechanism kwa kisingizio cha maandiko ya kuchambua kama karanga wanayojichagulia toka kwenye biblia), yesu alifungua milango kwa kila mtu. Na alisema atakaye kuwa bwana na awe kwenu kama mtumishi! Hivi kwa mungu kuna mlei na mkrei?

Ulikaribia ukweli pale nilipokoleza wino, ghafla tena unarejea pumba za maaskofu!! Hao wanonajisi watoto huko marekani na kwingineko hawana madaraja matakatifu???, si wanapitiaga upadri huu huu wa akina karugendo?? Propaganda za daraja takatifu mwachie kilaini na huyo sijui mwenye nick name ya benedikto wa kumi na ngapi sijui....

Ukinielewa hapo, utagundua ulipopotelea njia ndugu yangu
 
Kama ni mtihani ume-pass with honors. Umenipunguzia kazi kuwaelimisha wana JF. Hukukosea hata nukta na mimi niliuliza makusudi. Congratulations.

Sasa tuanzie hapo. Hivyo ndivyo makanisa ya mashariki yalivyoanza yale tunayoyaita Orthodox. Kwamba upadri wao, uaskofu wao na sakramenti zao hazikutambulika kwenye kanisa. Tena baadhi yao ni kutokana na kutofautiana kiimani. Mfano kuna kanisa walitengana kwenye mtaguso wa Chaledean nafikiri. Kutokana na fundisho la kiimani.

Kwa Millingo siyo hivyo. Milingo hana ugomvi na imani au doctrine yoyote ya kanisa Katoliki. Yeye ana ugomvi na suala la kuoa tu. Kila kitu kinabaki palepale. BIkira Maria ni yuleyule hana matatizo naye. Kanuni ya imani ni ileile.

Hivyo Millingo na wafuasi wake tatizo lao ni moja tu, useja. Kwamba mapadri wangeruhusiwa kuoa tena sheria waliyojiwekea basi asingekuwa na tatizo.

Umesema kwamba upadrisho na uaskofu anaotoa Millingo ni valid yaani halali lakini tu haukubaliki ndani ya kanisa. Milingo hana shida ya kukubalika ndani ya kanisa. Analijua hilo na Vatican wanalijua hilo.

Kinahotokea kwa Milingo ndivyo ilivyokuwa yale makanisa ya Orthodox ambayo leo tunahangaika kuwaita "Makanisa dada". Milingo akipata wafuasi hakuna atakayeshindwa kuita kanisa lake kanisa dada hapo mbeleni.

Milingo ni tofauti na Father Nkwera au Martin Luther. Hawa wawili hawakuwa na maaskofu wa kuurithisha uaskofu kwenye vikundi vyao. Ndiyo maana wakatoliki wanawatazama walutheri kwa jicho tofauti na wakatoliki wa mashariki. Kwamba walutheri hawana apostolic succession au hawana maaskofu halali lakini wanakubali wa-Orthodox wana maaskofu halali lakini hawakubaliki kanisani kama Milingo na wenzake wasivyokubalika.

Martin Luther yeye alikuwa ni padri tu hivyo yeye na wenzake alipokufa walikosa kuirithisha ile sakramenti ya daraja ambayo Milingo tayari ameishaitoa kwa zaidi ya watatu ambao na watairithisha kama Orthodox walivyofanya baada ya ile inayoitwa Great Schism.

Padri Nkwera akifa basi labda atokee askofu apadrishe mtu mwingine ndani ya kikundi cha wanamaombi. Vinginevyo kikundi hicho kinaweza kikose mtu mwenye daraja takatifu kama padri au askofu. Ndiyo maana kuna mmoja alitoa wazo humu tukamcheka alipoleta hoja kwamba Milingo ampe uaskofu padri Nkwera ili kikundi chake kipata mapadri milele.

Hiyo ndiyo effect ya uaskofu ambao ni ukuhani milele haufutiki. Milingo na hicho kikundi chake tunapaswa tukitahadhari kwa kukiangali kwa jicho hilo la future kuliko kushabikia kwamba sasa wamemaliza kana kwamba yanayotokea Vatican hayajui na kuna mtu wa kumfundisha.


PUMBA TUPU!!!!!!!!!!!!!!!!!,

MI NILIDHANI una hoja nzuri kumbe umeleta makusudi hapa jamvini siasa za chama cha romani catholic??

historia itakufikishaje mbinguni? unaanza na kujadili watu badala ya masuala. siasa tupu. unatafuta ukweli wa mungu kwa ku-balansisha hesabu za kihistoria?????????

haikusaidii wewe binafsi, wala wanajamvi wanaotaka kujuwa ukweli na kupata rehema za Mungu.

hayo yanawasaidia wenye maderaja "matakatifu" kwani wanaweza kuishi hapa duniani, wakila na kunywa bila kuwa na mashamba wala upigwa jua. na sasa wnaonekana wankata kamba kutafuta totoz.

we mtazame Yesu wala si mama yake wala binamu yake, wala nani sijui.... kama ni mkristo mtzame Yesu mwenye kuianzisha na kuitimiza imani yako. kisome vizuri kitabu cha Waebrania, ndugu yangu
 
kwani askofu ndiyo nani na mlei ndio nani??? Ni categories tu zilizotungwa na wanadamu tu kujilindia ulaji na utukufu wa hapa duniani ili wengine wasifikie bila ridhaa yao (control mechanism kwa kisingizio cha maandiko ya kuchambua kama karanga wanayojichagulia toka kwenye biblia), yesu alifungua milango kwa kila mtu. Na alisema atakaye kuwa bwana na awe kwenu kama mtumishi! Hivi kwa mungu kuna mlei na mkrei?

Ulikaribia ukweli pale nilipokoleza wino, ghafla tena unarejea pumba za maaskofu!! Hao wanonajisi watoto huko marekani na kwingineko hawana madaraja matakatifu???, si wanapitiaga upadri huu huu wa akina karugendo?? Propaganda za daraja takatifu mwachie kilaini na huyo sijui mwenye nick name ya benedikto wa kumi na ngapi sijui....

Ukinielewa hapo, utagundua ulipopotelea njia ndugu yangu

Kuna tofauti kati ya ukuhani shirikishi na ukuhani kama mwalimu au huduma. HIli hata Yesu alilijua na ndiyo maana akachagua wale kumi na mbili tu!
Rejea ukumbini!
 
Mkuu, jaribu kuchagua maneno ya kutumia. Kisheria na hata kiteolojia Milingo hawi mlei. Ukinitajia kifungu chochote cha sheria ndani ya kanisa hilo kinachosema sasa Milingo amekuwa mlei Naacha uanachama wa Jamii Forum. Na atakayeniita mimi kilaza Moderator asimzuie kwani nitakuwa nimekuwa kilaza kweli.

Kazi kwako na kwa yeyote anayetaka kunithibitishia hilo kwamba sasa Milingo amekuwa mlei.

Of course, we are dealing with a 'technical language' here. The Church has deprived Milingo of clerical faculties after he obstinately defied the ordinary ecclesiastical law, which requires all the faithful of God to be in full communion (with the Church) and in allegiance to the Church law. Consequently, Milingo has lost his clerical state (rights and privileges of Holy Orders) as shown below.

CODE OF CANON LAW

CHAPTER IV: LOSS OF THE CLERICAL STATE

Can. 290 Sacred ordination once validly received never becomes invalid. A cleric, however, loses the clerical state:

1° by a judgement of a court or an administrative decree, declaring the ordination invalid;

2° by the penalty of dismissal lawfully imposed;

3° by a rescript of the Apostolic See; this rescript, however, is granted to deacons only for grave reasons and to priests only for the gravest of reasons.

Can. 291 Apart from the cases mentioned in can. 290, n. 1, the loss of the clerical state does not carry with it a dispensation from the obligation of celibacy, which is granted solely by the Roman Pontiff.

Can. 292 A cleric who loses the clerical state in accordance with the law, loses thereby the rights that are proper to the clerical state and is no longer bound by any obligations of the clerical state, without prejudice to Can. 291. He is prohibited from exercising the power of order, without prejudice to Can. 976. He is automatically deprived of all offices and roles and of any delegated power.

Can. 293 A cleric who has lost the clerical state cannot be enrolled as a cleric again save by rescript of the Apostolic See.

NB: Can. 976 allows a priest without faculties to hear confessions in danger of death, even with an approved priest present.
 
Mkuu, inaelekea kifungu chenyewe umekipitia juujuu. Nakukatalia kwamba kimewekwa na watu. Hebu kiangalie kwa makini. Kifungu hicho kinaendeleza biblia unayoamini inayosema kwamba "Ndiwe Kuhani Hata Milele".

Tatizo lako umedhani niko tofauti na wewe na hivyo ukasoma harakaharaka. Mimi naona Milingo bado ni Kuhani hata milele hivyo kanisa lake ndilo linajikanyaga.

Njoo uwanjani tena.

Kama 'ukuhani wa milele' ni sawa na 'anything goes' basi ni afadhali usingekuwepo kabisa.
 
Of course, we are dealing with a 'technical language' here. The Church has deprived Milingo of clerical faculties after he obstinately defied the ordinary ecclesiastical law, which requires all the faithful of God to be in full communion (with the Church) and in allegiance to the Church law. Consequently, Milingo has lost his clerical state (rights and privileges of Holy Orders) as shown below.

CODE OF CANON LAW

CHAPTER IV: LOSS OF THE CLERICAL STATE

Can. 290 Sacred ordination once validly receivednever becomes invalid. A cleric, however, loses the clerical state:

1° by a judgement of a court or an administrative decree, declaring the ordination invalid;

2° by the penalty of dismissal lawfully imposed;

3° by a rescript of the Apostolic See; this rescript, however, is granted to deacons only for grave reasons and to priests only for the gravest of reasons.

Can. 291 Apart from the cases mentioned in can. 290, n. 1, the loss of the clerical state does not carry with it a dispensation from the obligation of celibacy, which is granted solely by the Roman Pontiff.

Can. 292 A cleric who loses the clerical state in accordance with the law, loses thereby the rights that are proper to the clerical state and is no longer bound by any obligations of the clerical state, without prejudice to Can. 291. He is prohibited from exercising the power of order, without prejudice to Can. 976. He is automatically deprived of all offices and roles and of any delegated power.

Can. 293 A cleric who has lost the clerical state cannot be enrolled as a cleric again save by rescript of the Apostolic See.

NB: Can. 976 allows a priest without faculties to hear confessions in danger of death, even with an approved priest present.

Excellent quote. Panasema ame-loose clerical status. Sasa ni wapi panaposema Milingo au mtu wa aina hiyo sasa amekuwa mlei. Zidi kututafutia.
 
PUMBA TUPU!!!!!!!!!!!!!!!!!,

MI NILIDHANI una hoja nzuri kumbe umeleta makusudi hapa jamvini siasa za chama cha romani catholic??

historia itakufikishaje mbinguni? unaanza na kujadili watu badala ya masuala. siasa tupu. unatafuta ukweli wa mungu kwa ku-balansisha hesabu za kihistoria?????????

haikusaidii wewe binafsi, wala wanajamvi wanaotaka kujuwa ukweli na kupata rehema za Mungu.

hayo yanawasaidia wenye maderaja "matakatifu" kwani wanaweza kuishi hapa duniani, wakila na kunywa bila kuwa na mashamba wala upigwa jua. na sasa wnaonekana wankata kamba kutafuta totoz.

we mtazame Yesu wala si mama yake wala binamu yake, wala nani sijui.... kama ni mkristo mtzame Yesu mwenye kuianzisha na kuitimiza imani yako. kisome vizuri kitabu cha Waebrania, ndugu yangu

Lo! Yesu mwenyewe alisema: 'atakayewasikiliza nyinyi ananisikiliza mimi...' Kwa hiyo, alikosea kusema hivyo? Pili, kwa nini aliwachagua mitume/wanafunzi wake kwenda kufundisha kama kumwangalia yeye kunatosha?
 
hayo ya milingo ni uthibitisho mwingine kuwa "uliijua kweli, hiyo kweli itakuweka huru"

milingo yuko huru sasa. mashtaka yote anayotuhumiwa hakuna hata moja lililo kinyume na mapenzi ya Mungu. anaonekana mkosaji mbele za wanadamu wenye majoho ya kichungaji. muhimu kuendeleza utumishi wake kwa Mungu na kwa uaminifu wote.

hicho kifungu ulichonukuu hapo juu kimo kwenye sheria zilizotungwa na watu, hivyo si rejea ya mwisho wa kila kitu, biblia pekee ndio rejea ya mwisho tunayowajibika kuiheshimu wakristo wote.

ukitata ya waroma, fuata ya waroma, ukitaka ya Kristo, fuata ya Kristo

Hata Biblia si rejea ya mwisho, si kweli hata kidogo. Biblia, kigiriki 'biblos', humaanisha 'vitabu'. Ni mkusanyiko wa vitabu vilivyoandikwa na wanadamu kuhusu Mungu na viumbe wake na mambo yaliyotokea katika mahusiano yao katika nyakati mbalimbali, mafundisho mbalimbali nk. Na baada ya kuwepo vitabu vingi vinavyozumngumzia mambo ya Mungu, ndipo katika karne ya kwanza baada ya Kristo watu fulani waliojiona wao ndio wasomi wakaamua kuvikusanya vitabu hivyo kwa kuzingatia vigezo fulanifulani, wakapata mkusanyiko huo unaoitwa Biblia. kitabu cha mwisho katika mkusanyiko huo kiliitwa 'Ufunuo wa Yohana'. Lakini hata baada ya kitabu hicho cha "Ufunuo wa Yohana", bado walimu, wahubiri, wachungaji, nk waliendelea kuandika vitabu vingi tu walivyotumia kufundishia imani, na vyote vinafaa. Hakuna ushahidi wa kukubalika kuwa ati Mungu alikataza rejea nyingine nje ya Biblia, huo ni uzushi mtupu. Vipo vitabu vingi sana vilivyoendelea kuandikwa ambavyo havipo katika hilo kundi liitwalo 'Biblia', na vinafundisha wema, uchaji, huruma, matendo mema nk. Na pia zipo dini nyingi zaidi ya ukristo zinazofundisha hayo yote.

Kwa hiyo hakuna ukiritimba kwa Mungu, hakuna jamii inayommiliki Mungu, bali Mungu ndiye anayezimiliki jamii zote duniani, yakiwamo mafundisho yanayoongoza maisha yao ya kila siku. Mungu aliyewapa wazungu mafundisho hayo ya ukristo na biblia, ndiye huyohuyo aliyewapa waarabu uislamu, wachina ubudha, wahindi uhindu, na sisi waafrika dini zetu za asili ambazo zilikuwa bora sana kabla wazungu na waarabu hawajaziharibu kwa kututungia majina machafu ya upagani na ukafiri ili tuzichukie dini zetu.

Askofu Milingo aling'amua hayo yote akiwa keshachelewa sana, akiwa tayari keshachanganywa na elimu ya dini ya wazungu, na kujikuta akitapatapa. Mtakumbuka mwanzoni aliposakamwa sana na wakatoliki wenzie alishindwa kutunza msimamo "akatubu" na kumwacha mkewe kipenzi Maria Sung ili "arudishwe kundini". Sasa hata "kundi" limemtema!
 
Hata Biblia si rejea ya mwisho, si kweli hata kidogo. Biblia, kigiriki 'biblos', humaanisha 'vitabu'. Ni mkusanyiko wa vitabu vilivyoandikwa na wanadamu kuhusu Mungu na viumbe wake na mambo yaliyotokea katika mahusiano yao katika nyakati mbalimbali, mafundisho mbalimbali nk. Na baada ya kuwepo vitabu vingi vinavyozumngumzia mambo ya Mungu, ndipo katika karne ya kwanza baada ya Kristo watu fulani waliojiona wao ndio wasomi wakaamua kuvikusanya vitabu hivyo kwa kuzingatia vigezo fulanifulani, wakapata mkusanyiko huo unaoitwa Biblia. kitabu cha mwisho katika mkusanyiko huo kiliitwa 'Ufunuo wa Yohana'. Lakini hata baada ya kitabu hicho cha "Ufunuo wa Yohana", bado walimu, wahubiri, wachungaji, nk waliendelea kuandika vitabu vingi tu walivyotumia kufundishia imani, na vyote vinafaa. Hakuna ushahidi wa kukubalika kuwa ati Mungu alikataza rejea nyingine nje ya Biblia, huo ni uzushi mtupu. Vipo vitabu vingi sana vilivyoendelea kuandikwa ambavyo havipo katika hilo kundi liitwalo 'Biblia', na vinafundisha wema, uchaji, huruma, matendo mema nk. Na pia zipo dini nyingi zaidi ya ukristo zinazofundisha hayo yote.

Kwa hiyo hakuna ukiritimba kwa Mungu, hakuna jamii inayommiliki Mungu, bali Mungu ndiye anayezimiliki jamii zote duniani, yakiwamo mafundisho yanayoongoza maisha yao ya kila siku. Mungu aliyewapa wazungu mafundisho hayo ya ukristo na biblia, ndiye huyohuyo aliyewapa waarabu uislamu, wachina ubudha, wahindi uhindu, na sisi waafrika dini zetu za asili ambazo zilikuwa bora sana kabla wazungu na waarabu hawajaziharibu kwa kututungia majina machafu ya upagani na ukafiri ili tuzichukie dini zetu.

Askofu Milingo aling'amua hayo yote akiwa keshachelewa sana, akiwa tayari keshachanganywa na elimu ya dini ya wazungu, na kujikuta akitapatapa. Mtakumbuka mwanzoni aliposakamwa sana na wakatoliki wenzie alishindwa kutunza msimamo "akatubu" na kumwacha mkewe kipenzi Maria Sung ili "arudishwe kundini". Sasa hata "kundi" limemtema!

kama si a mwisho, basi endelea kusoma vitabu vya michiriku!!!!!!!!!!!
 

Sifa Za Waangalizi 1Timothy 3:1-6
[FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Hili ni neno kweli, kwamba mtu akitamani kazi ya askofu, atamani kazi nzuri. [/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]2[/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Basi, imempasa askofu awe mtu asiye na lawama, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi, anayejitawala, anayeheshimika, mkarimu, ajuaye kufundisha. [/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]3[/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha. [/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]4[/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Lazima aweze kuisimamia nyumba yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa kila njia. [/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]5[/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow](Kwa maana kama mtu hajui jinsi ya kusimamia nyumba yake mwenyewe atawezaje kuliangalia kanisa la Mungu?) [/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]6[/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Asiwe mtu aliyeongoka karibuni asije akajivuna na kuangukia kwenye hukumu ile ile ya Shetani. [/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]7[/FONT][/FONT][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow][FONT=Arial Narrow,Arial Narrow]Inampasa pia awe na sifa njema kwa watu walio nje, ili asije akalaumiwa na kuanguka kwenye mtego wa ibilisi.
[/FONT]
[/FONT]!!


Ikiwa Catholicism is based on biblical prophecies and code. basi hawana askofu kibiblia. Labda Biblia wanayoitumia ni tofauti na hii iliyopo sasa. read 1Timothy 3:1-6. Inataja qualities za askofu. You will realize that none of them is biblically accredited bishop.
 
Kuna tofauti kati ya ukuhani shirikishi na ukuhani kama mwalimu au huduma. HIli hata Yesu alilijua na ndiyo maana akachagua wale kumi na mbili tu!
Rejea ukumbini!

nani kakwambia kuna kitu kunaitwa "kuhani kama mwalimu au huduma"? mara sijui ukuhani shirikishi, au ulinzi (wa kiroho) shirikishi unafikiri kuna demokrasia ya kiroho??? pole sana ndugu.

unabalansisha milinganyo ya historia kumtafuta Mungu! imeishakwambia maswali kama haya muulize kilaini na ben wa 16 na wanofanana na hao kwani ndio wanaolipwa kwa ku-entatain wakristo wa aina yako!!!!!!!!!!!

ukitaka kujua ukweli, acha kuabudu watu, elekeza moyo wako wote kumwabudu Mungu pekee na umtazame Yesu mwenyewe mwenye kuianzisha na kuitimiza imani yako

kaaazi kwelikweli!!!!!!!!!!!!!!!!!!

ubarikiwe
 
Excellent quote. Panasema ame-loose clerical status. Sasa ni wapi panaposema Milingo au mtu wa aina hiyo sasa amekuwa mlei. Zidi kututafutia.

Hivi niulize: Kanisa ndilo limesema hayo unayouliza au wachangiaji ndio wanaosema?

Kwa kujaribu kujibu ni kwamba: kwa vile baada ya kuwa 'defrocked' Milingo hatakuwa tena katika 'active priestly ministry', anakuwa kama 'mlei' kwa maana hii. Yaani, hafungwi tena na 'clerical obligations' na hawezi kupewa hadhi ya padre au askofu wa Kanisa Katoliki (anakuwa kama mtu wa kawaida kama wewe na mimi ingawa pengine mbele ya Mungu siyo hivyo).

Ni kama mtu aliyebatizwa hawezi tena kurudia katika hali ya kuwa 'non-baptised' na anaweza kuamua kughaili sheria za kanisa moja na kuingia jingine na huko akawa 'treated as if he has never been baptised'.
 
Lo! Yesu mwenyewe alisema: 'atakayewasikiliza nyinyi ananisikiliza mimi...' Kwa hiyo, alikosea kusema hivyo? Pili, kwa nini aliwachagua mitume/wanafunzi wake kwenda kufundisha kama kumwangalia yeye kunatosha?

kwa hiyo akichagua mtu basi kila aliyechaguliwa anamsubstitute????????????
hadi leo wangapi wnafanya kazi ya Mungu? hata wale wanaonajisi watoto marekan wamem-substitute Yesu? you are not serious!!!!!

Yesu aliwaita na anaendelea kuita watumishi wake waaminifu wawe mitume na wachngaji walishe kundi lake. hata leo bado awaita. suala sijui ben wa 16 au pengo au nani sijui kamkatalia ni upuuzi tu.

hayo uliyonukuu hapo juu ni kumhusu kila mtumishi hata mimi na wewe tunapohubiri na kuwaleta watu kwa Bana Yesu tunahusika si lazima vatikani itoe ruksa, umesikia???
 
Lo! Yesu mwenyewe alisema: 'atakayewasikiliza nyinyi ananisikiliza mimi...' Kwa hiyo, alikosea kusema hivyo? Pili, kwa nini aliwachagua mitume/wanafunzi wake kwenda kufundisha kama kumwangalia yeye kunatosha?

Hapo ndipo unaponifurahishaga na rejea zako za biblia kama vile ulipitia seminari japo huwa natofautiana na wewe mambo kadhaa.
 
Hivi niulize: Kanisa ndilo limesema hayo unayouliza au wachangiaji ndio wanaosema?

Kwa kujaribu kujibu ni kwamba: kwa vile baada ya kuwa 'defrocked' Milingo hatakuwa tena katika 'active priestly ministry', anakuwa kama 'mlei' kwa maana hii. Yaani, hafungwi tena na 'clerical obligations' na hawezi kupewa hadhi ya padre au askofu wa Kanisa Katoliki (anakuwa kama mtu wa kawaida kama wewe na mimi ingawa pengine mbele ya Mungu siyo hivyo).

Ni kama mtu aliyebatizwa hawezi tena kurudia katika hali ya kuwa 'non-baptised' na anaweza kuamua kughaili sheria za kanisa moja na kuingia jingine na huko akawa 'treated as if he has never been baptised'.

Taarifa nyingi ulimwenguni zimeandika kwamba amekuwa mlei. Lakini nakubaliana na wewe kanisa halijasema kwamba Milingo amekuwa mlei kwa sababu linajua kamwe hawezi kuwa mlei. Wachangiaji pia baadhi wameingia mtegoni.
Ukweli ni kwamba dhna kwamba anakuwa kama mlei hiyo tunaifahamu. Kwamba vitendo vyake ni sawa na vile anavyofanya mlei.

Lakini bado kufanana na mlei kimatendo hakumfanyi kuwa mlei. Ndipo ninaposimamia na ndipo nisipotaka pawe chanzo cha kupotoka. Kufanana ni kufanana tu. Hata Kulwa anaweza kufanana na Dotto lakini bado Kulwa si Dotto ingawa ni mapacha.

Ndiyo maana nimetoa ahadi kwa kujiamini kuwa hakuna mahala kanisa limeandika kwamba Millingo au tu wa aina ile ANAKUWA MLEI.
 
Taarifa nyingi ulimwenguni zimeandika kwamba amekuwa mlei. Lakini nakubaliana na wewe kanisa halijasema kwamba Milingo amekuwa mlei kwa sababu linajua kamwe hawezi kuwa mlei. Wachangiaji pia baadhi wameingia mtegoni.
Ukweli ni kwamba dhna kwamba anakuwa kama mlei hiyo tunaifahamu. Kwamba vitendo vyake ni sawa na vile anavyofanya mlei.

Lakini bado kufanana na mlei kimatendo hakumfanyi kuwa mlei. Ndipo ninaposimamia na ndipo nisipotaka pawe chanzo cha kupotoka. Kufanana ni kufanana tu. Hata Kulwa anaweza kufanana na Dotto lakini bado Kulwa si Dotto ingawa ni mapacha.

Ndiyo maana nimetoa ahadi kwa kujiamini kuwa hakuna mahala kanisa limeandika kwamba Millingo au tu wa aina ile ANAKUWA MLEI.


poleni sana!!
 
Ikiwa Catholicism is based on biblical prophecies and code. basi hawana askofu kibiblia. Labda Biblia wanayoitumia ni tofauti na hii iliyopo sasa. read 1Timothy 3:1-6. Inataja qualities za askofu. You will realize that none of them is biblically accredited bishop.

"Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu. Wala milango ya kuzimu haitalishinda" (Matayo 16:18).

Mwisho wa maneno!!!!!!!!
 
"Wewe ndiwe Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu. Wala milango ya kuzimu haitalishinda" (Matayo 16:18).

Mwisho wa maneno!!!!!!!!

ni wimbo tu huo mnaoimbishwa na akina ben 16 wakiyafsiri maandiko kulinda nafasi zao!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! poleni !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom