Askofu Mihali: Umepewa wajibu wa kusimamia uchaguzi, umesimamia vizuri?

Askofu Mihali: Umepewa wajibu wa kusimamia uchaguzi, umesimamia vizuri?

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,777
"Tungeweza kusema ujio wa Yesu Kristo umeondoa kila aina ya dhuluma, uwe umeondoa kabisa hali ya uonevu, uwe umeondoa kabisa hali ya kutojali utu, uwe umeondoa mauwaji au kuuawa kusipokuwa na hatia, uwe umeondoa kabisa unyanyasaji wa aina mbalimbali , tulidhani imengekuwa hivyo miaka yote imepita, lakini Bado hayo mambo yapo."

Amesema Askofu wa Jimbo Katoliki la Iringa Mhashamu Romanus Mihali wakati akitoa Homilia kwenye Mkesha wa Sikukuu ya Noeli Jimboni humo.


 
Back
Top Bottom