Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Siyo wote ni maaskofu wa kweli kweli jamani. Dini zimeingiliwa siku hizi na ndiyo maana tunao wengine wanajiita manabii au mitume. Nishawahi kukutana na askofu ambaye alishawahi kuwa mkuu wa wilaya hapo awali. Tena enzi ya ruksa, mtu kama huyo kwa nini asitamke maneno kama hayo?
Waumini wake ndo wamhukumu. No more sadaka na fungu la kumi. Pia wapo wanachaguliwa kwa kura, sio kitu rahisi sana kumpata mtu mwaminifu kwa njia hiyo ndugu zangu japo ndo mifumo ya baadhi ya madhehebu yetu.
Waumini wake ndo wamhukumu. No more sadaka na fungu la kumi. Pia wapo wanachaguliwa kwa kura, sio kitu rahisi sana kumpata mtu mwaminifu kwa njia hiyo ndugu zangu japo ndo mifumo ya baadhi ya madhehebu yetu.