wapendwa naomba niwakumbushe tu kuwa maaskofu wachungaji n.k. ni binadamu kama mimi na wewe, na taasisi za dini ni taasisi kama ilivyo taasisi zingine mf. benki, viwanda vya bia n.k. kwenye dini pia huhitajika fedha, msisahau hata yuda alimkana YESU kwa vipande vya fedha, kwa hiyo bado hat hawa viongozi wa dini wa leo wanaendeleza hayo yaliyopita. Kwanza ukiliangalia kanisa au taasisi ya dini kwa nje ndio unaweza ukawa muumini mzuri, ukiingia kwa undani wallah lazima utaikana dini yako, kuna mambo meeeeengi sana ya uchafu mkubwa yanafanywa kwa mgongo wa dini, dini dini. so tujue kuwa kanisa/maaskofu ni wakosefu kama wengine na yaliyo mengi wanayafanya kwa manufaa yao na si kwa mujibu wa neno la Mungu