Askofu Gwajima: Watekaji wana nguvu kuliko vyombo vya dola

Askofu Gwajima: Watekaji wana nguvu kuliko vyombo vya dola

Mwizukulu wa Buganda

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2024
Posts
638
Reaction score
1,771
Tulikuwa tunaogopa Ujambazi sasa Ujambazi umekuja kidijitali..kwasasa ujambazi unanguvu kuliko kitu chochote...naamini ipo siku atakuja mkombozi wa haya.
 
Watekaji ndio hao dola, ila evil Samia utakuwa na wakati mgumu sana kutawala.
 
Hua nawashangaa hata watu ambao ndugu zao wametekwa na wanahangaika kwenda polisi.

Bora hata waende kwa waganga, labda labda wanaweza pata ahueni ya nafsi
 
Mbunge wa zamani wa kawe Bishop Gwajima ameshangaa nchi imefika hatua watekaji wanaujasiri wakumpigia simu mtekwaji na kumtisha Na kumwambia tutakuteka na watanzania watakulilia kwa muda mfupi baada ya hapo wanakusahau hayo yote yanatokea kwenye nchi huku watawala wamekaa kimya akauliza hii inatupa picha gani?
 
Back
Top Bottom