Askofu Gwajima, wananchi Kawe hatujakutuma kugombana na kutukanana na shemeji yako. Kero zetu ni tozo za miamala, kodi ya majengo

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,066
4,085
Sisi wananchi wa Jimbo la Kawe hatujakutuma kugombana na kutukanana na shemeji yako.

Mambo ya kusema kuwa ndoa mbili za shemeji yako zilivunjika sababu ya tabia zake, na tangu ameingia kwenye familia yenu amekuwa akileta migogoro kila siku.

Hayo ni family matters, hayatuhusu wapiga kura.

Kuhusu chanjo, chanjo ni hiari ya mtu, eidha kuchanjwa ama kuto chanjwa.

Wananchi wa Kawe tunataka uwe upande wetu tunapolia kupanda kwa gharama za maisha.

Tukisema tozo ya miamala ni mzigo, utuelewe licha ya kwamba wewe ni biluonea mwenye madege, mahilikopta na una hela tayari ya kununua treni ya umeme.

Tukisema sisi wananchi hatujabahatika kujenga, lakini tunawalipia matajiri waliojenga Kodi zao za majengo utuelewe na uwe upande wetu.

Tunapolia kupanda kwa mafuta ya kula, Basi lia pamoja nasi, piga kelele dunia nzima isikie.

Sisi tuna maisha magumu yanayosababishwa na CCM halafu wewe unaleta mizaha, mara like mara hiki.

Tunakuomba utimize wajibu wa kututumikia.
Naamini umenielewa.

Kiranja Mkuu wa viranja wote kutoka Mbezi Beach, Kilongawima
 
Hii serikali imeshapoteza maono,sasa hivi inafanya tu kazi ya kuvizia wananchi,Believe me-Hawa wanatutega wananchi waanze kutukata tozo ya vocha na line za simu kwanzia mwezi wa saba mwisho wa mwezi huu.Inasikitisha sana
 
Jimbo la kawe lina laana huwa linapata wabunge vichaa flani ambao ni mafyatu daily huwa ni kesi nakusahau Hilo Jimbo wakati linachangamoto nyingi za miundo mbinu
 
UGOMVI WA GWAJIMA NA GWAJIMA MPANGO WA KUZIMA KELELE ZA TOZO NA UONEVU MBALI MBALI
 
Sisi wananchi wa Jimbo la Kawe hatujakutuma kugombana na kutukanana na shemeji yako.

Mambo ya kusema kuwa ndoa mbili za shemeji yako zilivunjika sababu ya tabia zake, na tangu ameingia kwenye familia yenu amekuwa akileta migogoro kila siku.

Hayo ni family matters, hayatuhusu wapiga kura.

Kuhusu chanjo, chanjo ni hiari ya mtu, eidha kuchanjwa ama kuto chanjwa.

Wananchi wa Kawe tunataka uwe upande wetu tunapolia kupanda kwa gharama za maisha.

Tukisema tozo ya miamala ni mzigo, utuelewe licha ya kwamba wewe ni biluonea mwenye madege, mahilikopta na una hela tayari ya kununua treni ya umeme.

Tukisema sisi wananchi hatujabahatika kujenga, lakini tunawalipia matajiri waliojenga Kodi zao za majengo utuelewe na uwe upande wetu.

Tunapolia kupanda kwa mafuta ya kula, Basi lia pamoja nasi, piga kelele dunia nzima isikie.

Sisi tuna maisha magumu yanayosababishwa na CCM halafu wewe unaleta mizaha, mara like mara hiki.

Tunakuomba utimize wajibu wa kututumikia.
Naamini umenielewa.

Kiranja Mkuu wa viranja wote kutoka Mbezi Beach, Kilongawima
Acha kujitoa akili,Gwajima hamkumchagua wananchi wa kawe Bali mliletewa na mfumo.
 
Ndo tatizo la kuminya democracy, ambako kulifanywa na mwenda zake. Ona ametuletea watu wasio na upendo na watu wao wanaowaongoza. Mtu anakomaa na mambo ya chanjo wakati serikali imetangaza chanjo kuwa ni hiari ya mtu.
 
Sisi wananchi wa Jimbo la Kawe hatujakutuma kugombana na kutukanana na shemeji yako.

Mambo ya kusema kuwa ndoa mbili za shemeji yako zilivunjika sababu ya tabia zake, na tangu ameingia kwenye familia yenu amekuwa akileta migogoro kila siku.

Hayo ni family matters, hayatuhusu wapiga kura.

Kuhusu chanjo, chanjo ni hiari ya mtu, eidha kuchanjwa ama kuto chanjwa.

Wananchi wa Kawe tunataka uwe upande wetu tunapolia kupanda kwa gharama za maisha.

Tukisema tozo ya miamala ni mzigo, utuelewe licha ya kwamba wewe ni biluonea mwenye madege, mahilikopta na una hela tayari ya kununua treni ya umeme.

Tukisema sisi wananchi hatujabahatika kujenga, lakini tunawalipia matajiri waliojenga Kodi zao za majengo utuelewe na uwe upande wetu.

Tunapolia kupanda kwa mafuta ya kula, Basi lia pamoja nasi, piga kelele dunia nzima isikie.

Sisi tuna maisha magumu yanayosababishwa na CCM halafu wewe unaleta mizaha, mara like mara hiki.

Tunakuomba utimize wajibu wa kututumikia.
Naamini umenielewa.

Kiranja Mkuu wa viranja wote kutoka Mbezi Beach, Kilongawima
Ndio kilio cha watanzania kwa sasa ni utawala bora kupitia Katiba Mpya na tume huru ya uchaguzi itakayokomesha watu kama Gwajima kuingia madarakani
 
Sisi wananchi wa Jimbo la Kawe hatujakutuma kugombana na kutukanana na shemeji yako.

Mambo ya kusema kuwa ndoa mbili za shemeji yako zilivunjika sababu ya tabia zake, na tangu ameingia kwenye familia yenu amekuwa akileta migogoro kila siku.

Hayo ni family matters, hayatuhusu wapiga kura.

Kuhusu chanjo, chanjo ni hiari ya mtu, eidha kuchanjwa ama kuto chanjwa.

Wananchi wa Kawe tunataka uwe upande wetu tunapolia kupanda kwa gharama za maisha.

Tukisema tozo ya miamala ni mzigo, utuelewe licha ya kwamba wewe ni biluonea mwenye madege, mahilikopta na una hela tayari ya kununua treni ya umeme.

Tukisema sisi wananchi hatujabahatika kujenga, lakini tunawalipia matajiri waliojenga Kodi zao za majengo utuelewe na uwe upande wetu.

Tunapolia kupanda kwa mafuta ya kula, Basi lia pamoja nasi, piga kelele dunia nzima isikie.

Sisi tuna maisha magumu yanayosababishwa na CCM halafu wewe unaleta mizaha, mara like mara hiki.

Tunakuomba utimize wajibu wa kututumikia.
Naamini umenielewa.

Kiranja Mkuu wa viranja wote kutoka Mbezi Beach, Kilongawima
Upo Kawe sehemu gani?
 
Back
Top Bottom