johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,760
- 143,217
Mbunge wa Kawe Dr. Gwajima PhD tunaomba ufafanuzi wako kuhusu Stendi ya Daladala Tegeta Nyuki kufutwa.
Inasemekana eneo lile ni la Bilionea Msacky na sasa ameshinda Kesi na kurejeshewa eneo lake, je ni kweli?
Ni hilo tu Mh. Mbunge wetu!
Inasemekana eneo lile ni la Bilionea Msacky na sasa ameshinda Kesi na kurejeshewa eneo lake, je ni kweli?
Ni hilo tu Mh. Mbunge wetu!