Askofu Gwajima aidanganya mahakama

Askofu Gwajima aidanganya mahakama

Hakuna mwanadamu anayefufua watu bali Yesu Kristo ndiye afanyaye hayo kupitia wewe na mimi kama tukimkiri kuwa Bwana na Mwokozi wetu.
hata Yesu hafufui wafu, mwenye kufufua wafu ni Yehova mwenyewe, angalia kilichotokea wakati wa ufufuo wa Lazaro.
 
Mahakama sio mama yako,,,kwamba ukikubali itakusamehe......
 
Kidunia alimtukana Pengo, lakini kibiblia hakumtukana kabisa.
Unatakiwa uongozwe na roho mtakatifu kutambua hilo.
 
Kidunia alimtukana Pengo, lakini kibiblia hakumtukana kabisa.
Unatakiwa uongozwe na roho mtakatifu kutambua hilo.

Hivi Biblia ndo inafundisha kutukana watu kwamba mtu mzima yupo km mtoto mdogo anayevaa pampers,Mara sijui Mpuuzi tu na dharau kibao;Halafu kwanini Ndugu unapenda kujibebea dhambi nzito namna hii ya Kumkufuru Roho Mtakatifu,kwamba eti alimwongoza Gwajima kuropoka vile???,Jamani mwogopeni Mungu.
 
hata Yesu hafufui wafu, mwenye kufufua wafu ni Yehova mwenyewe, angalia kilichotokea wakati wa ufufuo wa Lazaro.

Wewe ni hamnazo kabisa Yesu hafufui wafu???,yawezekana wewe ni agent wa kuzimu siyo bure kabisa!,Hebu kasome Mathayo 11:4-5.
 
hata Yesu hafufui wafu, mwenye kufufua wafu ni Yehova mwenyewe, angalia kilichotokea wakati wa ufufuo wa Lazaro.

He, hii nayo kali. Yesu hafufui wafu? Nani alimfufua Lazaro? Nani alimfufua yule.kijana wa mwanamke mjane? Uuuuuwi! Unasoma Biblia.gani? Yesu ni nani ja Yehova ni nani? Soma Yohana 1:1-5. Mtu kama hujui maandiko ni bora kunyamaza kuliko kuonesha upungufu wako katika jambo usilolijua.
 
Awe mkweli mbele ya nani. Sheria haiendi hivyo, lazima ukatae ili kesi iendelee upate muda wa kujieleza/ utetezi. Ukisema ndio kesi inaisha unapangiwa siku ya hukumu.
 
huenda tafsiri ya neno mtoto na mpuuzi inamaanisha kitu kingine kwa gwajima na sio hakimu anavyofikiria, atakapoulizwa maana tutamsikia akitoa ufafanuz

...sheria haipo hivyo, yale maneno yalitolewa katika kadamnasi, do yatatafsiriwa plainly kama yalivyo. So hakimu was very right.
 
He, hii nayo kali. Yesu hafufui wafu? Nani alimfufua Lazaro? Nani alimfufua yule.kijana wa mwanamke mjane? Uuuuuwi! Unasoma Biblia.gani? Yesu ni nani ja Yehova ni nani? Soma Yohana 1:1-5. Mtu kama hujui maandiko ni bora kunyamaza kuliko kuonesha upungufu wako katika jambo usilolijua.[/QUOTE
Nimekupenda buree kula tano
 
Soma Yohana 11:42, tafakari,maneno ya yesu kwa nini aliinua macho mbinguni na kusema baba yake anamsikia. Na anasema alitaka watu wajue yule aliyemtuma. Je yesu alipokufa alijifufua mwenyewe?
 
Acheni ujinga huu ccm mnatupoteza kutoka kwenye midahalo ya kuchukua nchi mnaanza kuleta habari za askofu gwajima tuwaachie mahakama sisi hayatuhusu
 
Acheni ujinga huu ccm mnatupoteza kutoka kwenye midahalo ya kuchukua nchi mnaanza kuleta habari za askofu gwajima tuwaachie mahakama sisi hayatuhusu
Popo umesema kweli ccm wanamtindo wa kuleta hoja tofauti na joto lililopo la kuchujua nchi mambo ya askofu yalishapita na wakati
 
Katika uchambuzi wa mageziti asubui ya leo nimesikia gazeti moja likiandika kwamba;

Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Gwajima amekanusha mashtaka aliyoshtakiwa kwayo na JMT kufuatia kumtukana Askofu mkuu wa jimbo kuu katoliki la Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kadinali Pengo.

Uongo aliousema askofu Gwajima ni kukataa mbele ya hakimu kwamba hakumuita askofu Pengo mtoto, mpuuzi. Maneno ambayo yanaweza kusababisha uvunjifu wa amani.

Kukataa kwake kusema ukweli inadhihirishia umma wa Tanzania kwamba Askofu Gwajima ni mtu muongo.

CHANZO: MWANANCHI

Duh...!.
Japo siungi mkono kauli hizi za Gwajima kumtukana Pengo, ila
Wanabodi, kwenye siasa, hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu, kuna just common interest.
Japo katika bandiko hili, nilitofautiana na Gwajima, lakini kufuatia kwa sasa ni mimi ni kada, na mgombea aliyepitishwa na chama chetu kwa jimbo la Kawe ni Gwajima, naomba kudeclare kuwa sasa namuunga mkono Gwajima 100% kwa 100% nikalikomboe jimbo, tulirejeshe CCM!.
Mimi na Gwaji Boy...dam dam!.
P
 
Back
Top Bottom