Message yenyewe inajipinga. Kwanza anasema hahitaji msaada wa Mungu halafu anasema mungu aliyenyesha mvua India ndiye atamsaidia
Halafu deadline ina walakini eti waondoke kati ya jumanne tar. 23 Juni na Alhamisi Juni 26!? Wakati alhamisi ni tarehe 25.
You cannot intimidate a person by a mere vague statement like this...
Halafu deadline ina walakini eti waondoke kati ya jumanne tar. 23 Juni na Alhamisi Juni 26!? Wakati alhamisi ni tarehe 25.
You cannot intimidate a person by a mere vague statement like this...