No, swali la kumuuliza ni hivi : Kazaa na mama yake? hilo atalijibu kwa maumivu?Pole sana mkuu. Naona povu sana. Vipi kazaa na ndugu yako nini?
No, swali la kumuuliza ni hivi : Kazaa na mama yake? hilo atalijibu kwa maumivu?Pole sana mkuu. Naona povu sana. Vipi kazaa na ndugu yako nini?
Huyu askofu koko hajui uaskofu anatakiwa atumie mitandao kuhubiri injili sio siasa.Hajui Matumizi ya mitandao kama kiongozi wa dini
Kazaa Na malaya huyo usiende kutafuta maombi kwake hatakiwi kuombea wengine ajiombee yeye Na nafsi yake Na madhambi yake ya Uzinzi yaliyokubuhu Yeye ndio anatakiwa atafute wa kumwombea sababu kashindwa kudhibiti tamaa za Uzinzi atafute waombaji wakemee pepo lake la Uzinzi aliloshindwa kulidhibiti kwa kofia ,Fimbo ,Pete Na gwanda la uaskofuPole sana mkuu. Naona povu sana. Vipi kazaa na ndugu yako nini?
Koko ni mleta uzi.Huyu askofu koko hajui uaskofu anatakiwa atumie mitandao kuhubiri injili sio siasa.Hajui Matumizi ya mitandao kama kiongozi wa dini
Bahati mbaya sikuwahi kuishi kwa dili na furaha yangu haikuwa kutegemea maisha ya dilina ujaujanja..kero yangu kubwa ilikuwa foleni kwenda airport na nchi kutokuwa na ndege..basi
Vipi biashara ya kuuza mwili na yenyewe imekudundia nini aunt?Hahahaaaa...kapuku bana....jifariji kwa maneno hayo
Hii ndio tunaita kukataa kuona tembo aliyeko chumbani badala yake unapiga kelele kuhusu sisimizi. Kubwa unaloliona hapa ni Mbowe kuwa nje ya nchi, ni kweli hilo ni jambo. Lakini vipi kuhusu kesi zisizokuwa na msingi? Kwanini wakati huu ndio wapinzani wanashinda mahakamani, why now?Baba Askofu kabla hujaanza kumfananisha Mbowe na Mandela pengine ungekaa na Mbowe na kumweleza umuhimu wa kuwa mkweli. Alituma ujumbe Mahakani kuwa yuko Mahututi kwenye hospitali moja huko Afrika Kusini, kumbe ameenda Ubelgiji kwa mambo yake! Na alivyomsahaulifu akatuma na picha kabisa. Sasa leo hii wewe mtumishi wa Mungu na majoho yako umeshindwa hata kusimamia hilo ili siku nyingine asiseme uwongo? Au ile Amri ya Tano imefutwa kwenye kitabu cha baba Askofu?
Hakusema kuwa yuko mahututi!Baba Askofu kabla hujaanza kumfananisha Mbowe na Mandela pengine ungekaa na Mbowe na kumweleza umuhimu wa kuwa mkweli. Alituma ujumbe Mahakani kuwa yuko Mahututi kwenye hospitali moja huko Afrika Kusini, kumbe ameenda Ubelgiji kwa mambo yake! Na alivyomsahaulifu akatuma na picha kabisa. Sasa leo hii wewe mtumishi wa Mungu na majoho yako umeshindwa hata kusimamia hilo ili siku nyingine asiseme uwongo? Au ile Amri ya Tano imefutwa kwenye kitabu cha baba Askofu?
Masihara hayo unamfananisha mandera na Huyu jamaa
Baba Askofu kabla hujaanza kumfananisha Mbowe na Mandela pengine ungekaa na Mbowe na kumweleza umuhimu wa kuwa mkweli. Alituma ujumbe Mahakani kuwa yuko Mahututi kwenye hospitali moja huko Afrika Kusini, kumbe ameenda Ubelgiji kwa mambo yake! Na alivyomsahaulifu akatuma na picha kabisa. Sasa leo hii wewe mtumishi wa Mungu na majoho yako umeshindwa hata kusimamia hilo ili siku nyingine asiseme uwongo? Au ile Amri ya Tano imefutwa kwenye kitabu cha baba Askofu?
Amri ya tano unaijua? Jnahusikaje hapa?Baba Askofu kabla hujaanza kumfananisha Mbowe na Mandela pengine ungekaa na Mbowe na kumweleza umuhimu wa kuwa mkweli. Alituma ujumbe Mahakani kuwa yuko Mahututi kwenye hospitali moja huko Afrika Kusini, kumbe ameenda Ubelgiji kwa mambo yake! Na alivyomsahaulifu akatuma na picha kabisa. Sasa leo hii wewe mtumishi
wa Mungu na majoho yako umeshindwa hata kusimamia hilo ili siku nyingine asiseme uwongo? Au ile Amri ya Tano imefutwa kwenye kitabu cha baba Askofu?
Na baba akoMwanamke wa Madini anazini na nani?
Na wewe alikutia mimba? Kidume sana Baba Askofu. Vipi anamtunza mtoto?Mzinzi mkubwa bagonza Na mzaa hovyo Na malaya Na ushahidi upo magazeti ustawi wa jamii nk aweza mwombea nani? Nani aweza taka maombezi yake?
Baba Askofu kabla hujaanza kumfananisha Mbowe na Mandela pengine ungekaa na Mbowe na kumweleza umuhimu wa kuwa mkweli. Alituma ujumbe Mahakani kuwa yuko Mahututi kwenye hospitali moja huko Afrika Kusini, kumbe ameenda Ubelgiji kwa mambo yake! Na alivyomsahaulifu akatuma na picha kabisa. Sasa leo hii wewe mtumishi wa Mungu na majoho yako umeshindwa hata kusimamia hilo ili siku nyingine asiseme uwongo? Au ile Amri ya Tano imefutwa kwenye kitabu cha baba Askofu?
laaana inamtafuna.View attachment 959204
Maneno ya Baba Askofu Dr.Benson Bagonza (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe.
"Japokua Mbowe ni tofauti na Mandela, lakini mbinu za kumshughulikia Mbowe zikifanana na zile zilizomshughulikia Mandela, basi Mandela na Mbowe wanakuwa sawa. Na kwa hiyo waliomshughulikia Mandela wanakuwa sawa na wanaomshughulikia Mbowe. Tunahitaji nguvu ya hoja" (si nguvu ya dola).!
Aende Mogadishu sasa akajiripue, anangoja nini?Baba Askofu kaamua kujivisha mabomu!!