figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
SOMO LA UTAWALA: MWAKA WA KWANZA
Kanuni za Utoaji Adhabu
1. Usitoe adhabu usiyoweza kuisimamia mpaka mwisho;
2. Usimpe adhabu wala amri mtu ambaye endapo atasema HAPANA, huna cha kumfanya.
Mkimaliza kuandika insha, kusanyeni madaftari, nitasahihisha baada ya Pasaka. Atakayegoma kufanya, sina la kumfanya.
PASAKA NJEMA
Kanuni za Utoaji Adhabu
1. Usitoe adhabu usiyoweza kuisimamia mpaka mwisho;
2. Usimpe adhabu wala amri mtu ambaye endapo atasema HAPANA, huna cha kumfanya.
Mkimaliza kuandika insha, kusanyeni madaftari, nitasahihisha baada ya Pasaka. Atakayegoma kufanya, sina la kumfanya.
PASAKA NJEMA