Askofu Bagonza: Usimpe adhabu wala amri mtu ambaye endapo atasema HAPANA, huna cha kumfanya

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,484
54,854
SOMO LA UTAWALA: MWAKA WA KWANZA

Kanuni za Utoaji Adhabu

1. Usitoe adhabu usiyoweza kuisimamia mpaka mwisho;

2. Usimpe adhabu wala amri mtu ambaye endapo atasema HAPANA, huna cha kumfanya.

Mkimaliza kuandika insha, kusanyeni madaftari, nitasahihisha baada ya Pasaka. Atakayegoma kufanya, sina la kumfanya.

PASAKA NJEMA
 
Mungu akubariki sana baba askofu. Shetani atashindwa tu muache ajipe "umungu mtu" nakujiona kiongozi wamalaika.
 
Ni kweli...

Amesema hapana, na hakuna aliyemfanya kitu...

Ametoa adhabu na ameshindwa kuisimamia mpaka mwisho...

Watu washakusanya madaftari hana la kufanya inamlazimu asahihishe tuu, huku akinungunika kwamba kiranja mkuu kachukia sana...



Cc: mahondaw
 
La kumfanya wanalo, TL alipowashinda katika nyanja zote za kisheria walikuja na utaratibu wa watu Wasiojulikana.

Hata CAG ni mtu wa kuombewa na kuwekwa mbele za Mungu. Kikao cha Wabunge fulani na M/kiti wao kikimwacha salama lazima DAB aingie kazini Katekeleza majukumu.
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom