Ubarikiwe katika jina la yesu mwana wa daudiAngalau bado mwanga wa kweli wa kristo unamulika giza katika kipindi ambacho jiwe amewanajisi viongozi wa kristo tena kimwili na kiroho!!!!
Ubarikiwe katika jina la yesu mwana wa daudiAngalau bado mwanga wa kweli wa kristo unamulika giza katika kipindi ambacho jiwe amewanajisi viongozi wa kristo tena kimwili na kiroho!!!!
Polepole, Bashiru, Magufuli, Kipilimba, Sirro , Makonda, Jerry Muro, Ali Hapi and the rest of the JPM aircrew haviwahusu, wamebarikiwa kuliko watanzania wote na uzao wa matumbo yao umebarikiwa!.Kwa makosa ya wenzetu tujifunze.
Kinga ni bora kuliko tiba
SijakusomaFr kitima siku hizo anaegemea zaidi wa mtoto port... Bagosha!
Kwa kweli Pengo hasomeki tena kwa wino wa bluu. Anapunguza morali ya waumini wa RC na kutuweka kwenye danger zone. Hawezi kupongeza vizur bora akae kimya. Ona sasa anavyotukanwa mitandaoni.Huyu ndie mtu wa Mungu
Sio Pengo na wenzake wanafiki wakubwa
Kwa kweli Pengo hasomeki tena kwa wino wa bluu. Anapunguza morali ya waumini wa RC na kutuweka kwenye danger zone. Hawezi kupongeza vizur bora akae kimya. Ona sasa anavyotukanwa mitandaoni.
There is no peace in the house of the wickedpakatwa
There is no peace in the house of the wicked
Beautiful faces are everywhere but beautiful minds are hard to find, especially here in Africa.hasa baada ya RC kutoa tamko lao
Hata Rais Magufuli usema 'msema kweli mpenzi wa Mungu'.Ukwel humuweka mtu kuwa huru
Beautiful faces are everywhere but beautiful minds are hard to find, especially here in Africa.
Mkuu hiyo ya kuwanajisi kimwili imekaaje?!Angalau bado mwanga wa kweli wa kristo unamulika giza katika kipindi ambacho jiwe amewanajisi viongozi wa kristo tena kimwili na kiroho!!!!
Malasusa ni mtu wa ndio mzee sana hawezi kukemea yanayofanywa na utawala wa sasaMalasusa hana ujanja wa kumkosoa Magufuli, amesahau kuwa haki huinua taifa