Mkuu ukijumuisha wote unakosea! Sidhani kama ni wote bali ni baadhi tu wenye hizo tabia chafu.
Wakibisha niweke aya na hadith. Mtume alifanya mautumbo na mahovyo hovyo mengi.,tukiyataja hapa hapatoshi.
Tukianza kuorodhesha madudu ya mtume.patakuwa hapatoshi hapa.
Kila siku nakuuliza hili swali hutaki kujibu,mtume alisema ukijitawaza uingize kidole chote cha kati kujisafisha kisha ukamuonyeshe akague,sasa mtume hayupo wa kukagua,je huwa unafanya kama mtume alivyoagiza?je ukishatawaza unampelekea nani akukague?
Kuran inasema kama unataka kujitawaza,ukakosa maji unaweza kujitawazia mchanga au udongo,je unafanya hivyo?ukimaliza unampelekea nani akague?
Nijibu hayo maswali leo mkuu.
Jana kwenye jukwaa la habari na hoja mchanganyiko, nimeweka habari ya Kanisa linakiri kuwa wachungaji wanaharibu watoto, kwa bahati mbaya sana na kwa kuwa JF hakuna uadilifu yakija masuala yanayohusu Kanisa, hiyo habari ikaondolewa hapo ikapelekwa International News na ikafungwa saa hiyo hiyo ili isichangiwe.
Sasa hapao mimi wala sishangai, kanisa lenyewe linakiri wanaharibu watoto, ushahidi huu hapa:
Church Officials: Former Pastor Credibly Accused of Child Sexual Abuse
ST. LOUIS (KMOX) - The local Presbyterian Church body has issued a warning about an alleged child molesting pastor who once served in the St. Louis area.
Officials with the Giddings Lovejoy Presbytery, which represents local members of the Presbyterian Church USA, now say they consider child sex abuse allegations made in 2012 against former pastor Michael Walker Jackson are credible.
The alleged abuse took place in the mid 1980s, but no civil or criminal charges were brought.
The Presbyterians in the St. Louis area are standing up and acting responsibly and theyre warning people about a man who they believe was credibly accused of child sexual abuse and we applaud the Giddings Lovejoy Presbytery, says SNAPs David Clohessy. We hope it will inspire other denominations to show a little bit of courage and a little bit of compassion for children.
Jackson is no longer a minister in the Presbyterian Church USA.
Hes believed to be living in Georgia.
Attempts to reach him were unsuccessful.
(TM and © Copyright 2014 CBS Radio Inc. and its relevant subsidiaries. CBS RADIO and EYE Logo TM and Copyright 2014 CBS Broadcasting Inc. Used under license. All Rights Reserved. This material may not be published, broadcast, rewritten, or redistributed.)
Source: Church Officials: Former Pastor Credibly Accused of Child Sexual Abuse « CBS St. Louis
Dah.
Kwani JF mnakuwa namna hiyo? mnaficha haya madhambi yanayofanywa kwa jina la Kanisa?
Paw, Invisible, PainKiller, Moderator.
Huyu naye ni mfuasi wa mzee wa Hummer......Naona kawasasa ume-side na vijukuu wa Muddy....
Vipi Gwajima kesha tubu dhambi ya umalaya na kuzini na wake wa watu....? Nauliza tuu
Aya tena ile din ya kuabudu mzungu kichup imesababisha tena.
We KAFIRI acha kipindisha mada na Story zako za kina Remote hapa,,umeona kwenye Qur'aan au Hadith gani kuna kitu kama hicho? Mkuu unafikiri BIBI LIA hiyo mnaigeuza geuza kila siku?
Zungumzia padri kumlawiti mtoto ndio mada iliyoko mezani.
Mpaka Mapadre waache kulawiti watoto wa kiume na kulawiti wanaume kama wewe ndipo Gwajima ataacha uzinzi! Sawa eee? Ukatoroka juu na sanamu la mzungu alievishwa pampers!
wewe unajua nini,mnasomewa aya na hadith za mabikra 72,mito ya konyagi na gongo,mabikra wa kiume 28 na sex market. Mambo mengine hamsomewi na hamjui maana yameandikwa kiarabu.
Mkiwekewa hapa mnakimbilia kusema tumetunga,au imetungwa na wamarekani na izrael au imepindishwa.
Kuna stori nyingi hamuambiwi au hamsomewi,ushoga wa mtume,alah kuugua mafua ya nguruwe nk. Bisha sasa.
hahahahahah nimeipenda.
Kila siku nakuuliza hili swali hutaki kujibu,mtume alisema ukijitawaza uingize kidole chote cha kati kujisafisha kisha ukamuonyeshe akague,sasa mtume hayupo wa kukagua,je huwa unafanya kama mtume alivyoagiza?je ukishatawaza unampelekea nani akukague?
Kuran inasema kama unataka kujitawaza,ukakosa maji unaweza kujitawazia mchanga au udongo,je unafanya hivyo?ukimaliza unampelekea nani akague?
Nijibu hayo maswali leo mkuu.
Hakika hana majibu..
SEXUAL PERVERSIONS OF "PROPHET" MUHAMMADMimi siku zote nikiuliza swali linalohusu DINI au Imani Huwa NAWEKA na Mistari ya Andiko linalohusu hilo swali..
Nyie makafiri ni tofauti kabisa.
Huwa mnabuni mambo kwenye hivyo vichwa vyenu halafu mnavigeuza kuwa ni swali.
Halafu mnategemea wasomi km mimi watoe jibu!
Hayo utakauta kule Chit chat, kwenye mipasho na Rusha roho.
Hapa ukikadili na mimi NI LAZIMA UWEKE NA USHAHIDI wa HIZO KAULI ZAKO.
Nakupa mfano hai hapa.
BIBLIA INASEMA NI MARUFUKU KUTOA TALAKA.
Matayo 19:6
Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.-
MARK 10:9
7-Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe;-
8-na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.-
9-Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.-
Matayo 5:32
lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.-
Tuseme nyie makafiri wadogowadogo Hamjali hili andiko!
Sasa KWANINI WALE VIONGOZI WENU WA JUU KABISA WAKAPIGANA TALAKA KILA SIKU?
Na wakaenda kuoa Wake wengine hali ya kuwa manajua kuwa HUO NI UZINIFU?
MFANO WA pili.
YULE PAULO ANASEMA.
1 Wakorinto 11:5
Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa.-
6-Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.-
SWALI- Kwanini wale MAMA ZENU NA DADA ZENU NA WAGALATIA WOTE wa kike HAWAFUNIKI NYWELE ZAO Waendapo MAKANISANI?
Halafu hapa anasema.
1 wakorintho 11:14
14-Je! Hayo maumbile yenyewe hayawafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake?-
Sasa hebu Tazama hizi picha za Yesu UONE
Kwa Mujibu wa BIBLIA.
JE! KWANINI HANA AINBU KUFUGA NYWELE KM MWANAMKE?
Na huyo MCHUNGAJI hapo chini KWANINI KAMPA TALAKA MUME WAKE? Wakati talaka ni HARAMU KABISA KWENU?
Omeona hio mifano?
Sasa na wewe kawakusanye wale makafiri wenu wakubwa mniletee maandiko namna hii ili muonekane japo mna AKILI KIDOGO.
We KAFIRI acha kipindisha mada na Story zako za kina Remote hapa,,umeona kwenye Qur'aan au Hadith gani kuna kitu kama hicho? Mkuu unafikiri BIBI LIA hiyo mnaigeuza geuza kila siku?
Zungumzia padri kumlawiti mtoto ndio mada iliyoko mezani.
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Mkuu HAWA MAKAFIRI wanajifanya wajanja kwenda kinyume na Kanuni Za ALLAH.
Sasa mwenye akili ktk wao AONE huo UCHAFU wanaofanya HAO wanaowasamehe madhambi huko MAKANISANI.
Anakosea nini? wakati Umoja wa Mayaifa unalishutumu Kanisa lote Katoliki na Vatikano kwa kuharibu watoto wadogo, Jisomee:
UN Committee Against Torture criticises Vatican handling of sex abuse | World news | theguardian.com
https://news.yahoo.com/un-panel-slams-vatican-priest-sex-abuse-scandal-123341664.html
Ni Kanisa Katoliki dunia nzima. Ni nini usichokielewa hapo, au na wewe ni mmoja wao?
Hata wewe ni mbaya kwani umefanya mangapi? Au kwa kua huitwi Askofu au Mchungaji? CHunga sana sempa101