Yesu HAKUWAHI KUJENGA KANISA.
HUO NI UONGO!
Mjenga kanisa ni PETRO na YESU akaliita ni KANISA LA SHETANI.
Na wala YESU KTK MAISHA YAKE YOTE HAKUWAHI KUSALI KANISANI.
Matayo 16:23
Akageuka, akamwambia Petro, Nenda nyuma yangu, Shetani; u kikwazo kwangu; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.-
Mathayo 16:16 Yesu akamwambia petro wewe u-mwamba na juu ya mwamba huu
nitalijenga KANISA YAANI KANISA JUU YA MWAMBA (SHETANI PETRO)
Kwa mujibu qa maneno ya YESU MAKANISA YOOTE NI YA SHETANI.
Na km una andiko llt la yesu au hata wale wanafunzi wake 12 kujenga KANISA nionyeshe.
Lkn USINILETEE HABARI ZA SHETANI PAULO.
Kanisa si jengo.alafu kukurupuka na mstari bila kujua muktadha wa neno hilo ni upuu....z.Ktakacho msaidia mtu kwenda pepon si mihemko kama yako wala kanisa au msikit unao sali.ni matendo yako.Sasa jitafakari wewe kwanza peponi unaenda?