Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Askofu mkuu wa jimbo katoliki mbeye Everist Chengula amekemea vikali kitendo cha kakobe kuponda waraka uliotolewa na kanisa katoliki.Askofu huyo amedai kuwa kakobe haijulikani kapata vipi uaskofu huo.Kaenda mbali zaidi kwa kusema kuwa kakobe haaminiki katika utumishi anaoufanya.Masheikh pia wamempinga.
Kakobe kama Kingunge?
Kakobe kama Kingunge?