Askofu afananisha Mawaziri mizigo na Shetani

Askofu afananisha Mawaziri mizigo na Shetani

Mkuu tatizo akili ndogo wewe unakurupuka kuleta habari
Povu la nini? Mbona una hasira kama vile umenyimwa daku? Ulitaka ziletwe habari za kusifia mwenge wa zinaa? Au ulitaka uletewe habari ya kusifia ufisadi wa iptl, EPA, Kagoda, meremeta, richmond, na uchafu mwingine wa CCM ndo ufurahi?
 
Comrade, kabla ya kuanza kumrushia maneno ya kejeli Askofu, jaribu kwanza kuangalia source ya habari.

Gazeti la Nipashe kwa uandishi wa habari za kisiasa liko mapacha na Tanzania Daima.

Mantiki ya tamko la Maaskofu wa kanisa katoliki Tanzania ni tofauti kabisa na habari zilizoandikwa na vyombo vya habari ambavyo ni midomo ya chama kilichokuwa kinaitwa CHADEMA ambacho viongozi wake kwa sasa wamekimbilia kwenye mwanvuli wa kikundi kinachojiita UKAWA.

Pumba pls povu
 
Back
Top Bottom