Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Baadh ya askari wamevamia chuoni mzumbe na kupiga wanafunzi, wanafunzi hao walikuwa ndani ya eneo la chuo wakiendelea na disko lao wenyewe lakin ghafla askari walivamia eneo hlo na na kuwataka watawanyike haraka ndipo wanafunzi hao kwa kushirikiana na uongozi wa ulinzi wa chuo walipowahakikishia askari hao kuwa humo ni salama kabisa na wao wapo eneo lao la chuo lakini askari hao ndipo walipoamua kutumia nguvu kuwatawanya wanafunzi kwa nguvu. Walifanikiwa kuwapga walinzi wa chuo na wanafunzi.. Askari hao walidai kuwa Chadema ndo source ya migomo hvyo wanaanza kuizuia vyuoni.. Wanafunzi hao wamelaani kitendo hicho na wameahid kupambana na askari hao hadi kieleweke.. Mpaka muda huu hali ya usalama si nzuri kwan bado milipuko ya mabomu inaendelea.
Chanzo: Wanafunzi wa Mzumbe University, Mbeya Campus.
Chanzo: Wanafunzi wa Mzumbe University, Mbeya Campus.