Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,243
Maafande wa doria wakipiga picha na baadhi ya viongozi wa CCM wa kata ya Mji Mpya morogoro.
Hii kitu inaruhusiwa jamani??
Hii kitu inaruhusiwa jamani??
Tofauti na ile ya kwenu(chadema) ambayo lema alikumbatiana na askari fake wa JWTZ kwa mkao wa kujiandaa kabisa kwa kupiga picha! Hapo wanasalimiana kuwapa habari za kiintelejensia....kuwa kuna mtu kapita kavaa mavazi ya mgambo wakati wanajua hakuwahi kimbia mgambo!
Tutawasaka!
tutawapa raia majibu kesho na sio mbal