Askari wapiga picha na viongozi wa CCM

Askari wapiga picha na viongozi wa CCM

Daudi Mchambuzi

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
62,190
Reaction score
128,243
Maafande wa doria wakipiga picha na baadhi ya viongozi wa CCM wa kata ya Mji Mpya morogoro.
_MG_3233.JPG


Hii kitu inaruhusiwa jamani??
 
Tofauti na ile ya kwenu(chadema) ambayo lema alikumbatiana na askari fake wa JWTZ kwa mkao wa kujiandaa kabisa kwa kupiga picha! Hapo wanasalimiana kuwapa habari za kiintelejensia....kuwa kuna mtu kapita kavaa mavazi ya mgambo wakati wanajua hakuwahi kimbia mgambo!
 
Tofauti na ile ya kwenu(chadema) ambayo lema alikumbatiana na askari fake wa JWTZ kwa mkao wa kujiandaa kabisa kwa kupiga picha! Hapo wanasalimiana kuwapa habari za kiintelejensia....kuwa kuna mtu kapita kavaa mavazi ya mgambo wakati wanajua hakuwahi kimbia mgambo!

Kenneth Nollo

Hilo pozi la afande hapo mwanzo naona kama la kuotea flash vile.....
 
Last edited by a moderator:
Hawa hawajanyosha dole gumba, yule wa cdm alinyosha vidole viwili.
 
kwa CCM ruksa, ila wengine si ruksa....
unajua mtu anapotaka kufa anaweweseka sana, ndivyo CCM ilivyo, tujiandae kwenda kuizika tu 2015
 
huyu anasalimiana na kada wala hajaweka pozi la kishabiki, wa lema aliweka ushabiki zaidi, pia waswahili wa kale walisema Salamu haitii mimba...
 
Wanatakiwa wakamatwe haraka wafungwe miaka minne vinginevyo tutatumia nguvu ya umma kumtoa yule waliomfunga alafu hao polisiccm naona wamebeba vitu vyenye ncha kali alafu wamevaa kama wanakwenda mwezini
 
Tumia kichwa kufikiri, hao jamaa wanasalimia hajapozz kama yule mwanajeshi
 
msihofu mbona ni ishu ndogo tutawajulisha wa tz msihofu ss tuko makin
 
Back
Top Bottom