Askari wanyapori wafanya mauaji ya kutisha!

Askari wanyapori wafanya mauaji ya kutisha!

Kama nawewe umeshiriki kwenye mauaji damu yake iko juu yako. Yaani pamoja na kujitosheleza kwa taarifa baxo unasema imekaa kiudaku udaku?
kusoma anaona kichina hata picha hawezi kuangalia?
 
Sasa mauaji gani ya kutisha hapa!!
Angalia picha ya marehemu Mwangosi ndo utagundua yepi ni mauaji ya kutisha!
 
mm ngoja nipite huku maana. Naona kama umri Wangu bado hivi kujadili haya mabmo ambayo hayaishi kila siku
 
kumbe matukio mengi ya uonevu na mauaji yaliyotokea hukanushwa tu tume imewaumbua sana.na bado damu ya marehemu itawalilia milele.vipi tume huru ya mabomu ya arusha itaundwa lini?
 
Sasa mauaji gani ya kutisha hapa!!
Angalia picha ya marehemu Mwangosi ndo utagundua yepi ni mauaji ya kutisha!
kuuwawa kwa kuchinjwa,kupigwa risasi sio mauaji ya kutisha..wapo pia waliobanwa makende hadi yakapasuka na hatimae kufa bado ni mauaji ya kupendeza?mauaji ni mauaji tu hata iwe ya kupewa pipi tamu
 
yaleyale ya operesheni tokomeza--watu wasiokuwa na hatia wanauliwa kixenge halafu kuna mamburula wanadai eti sio mauaji ya kutisha! hivi watu wengine wamelaaniwa au nini?
 
Back
Top Bottom