Wakati kila kitengo kina kiwango kinachowasilisha kwa RTO kila wiki naye kuwasilisha kiwango flani kila mwezi kwa RPC!
Haiwezekani, mtu akipewa tochi anaambiwa kabisa mwisho wa wiki alete laki 7. Yani kama biashara ya coaster. Unafikiri hao viongozi watakubali mashine za EFD!!
Halafu ili zifanye kazi vizuri wapunguze adhabu kuwa elfu 10, maana wakiacha elfu 30 halafu unganganie kulipa electronic unaweza tafutiwa makosa 7, mpaka gauge ya mafuta kuwa empty itakua kosa la fine ili tu utoe rushwa uachiwe!