Big One
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 759
- 47
hivi hawa ndugu zetu mbona wanaendekeza njaa sana wakiona mtu anaendesha chombo cha moto wanataka kumkamata cjui ni wivu unaowasumbua yani wananuka rushwa tupu utawaona wanakagua kila kitu ili mradi wakutafutie kosa kiufupi wanaboa sana nasema hvyo yamenikuta ful kutafutiana makosa