Binadamu hawana shukhrani kabisa"Unahatarisha UHAI Wako,KUWALINDA"Wao hubaki WANAKUTUSI TU MTANDAONI.
Ina aminika silaha zilizoibwa Polisi na kutumiwa na magaidi feki wa CCM pale Tanga zilijibadilisha kutoka silaha nyepesi kuwa nzito na kulazimu kuita Jeshi la Wananchi lije na silaha nzito!! ha ha ha ha !! CCM bwana~!
Kuna mwenye Picha yake tujue anafananaje? Ngoja tusubiri jioni kwenye Taarifa za Habari!!
Pamoja Na Kwenda Na Makombora Yenu Ya Msaada Kutoka China Na Marekani, Magari Sijui VX Na Misafara Ya Askari Wa Kila Aina Kuna Jangili Hata Mmoja Wamemkamata? Ninavyowadharau Hawa Watu Usifikiri Kuwa Nakosea Bali Namaanisha Kuwa Uimara Wa Vikosi Vyetu Vya Ulinzi Na Usalama Kwa Sasa Nchini Tanzania Unatia Mashaka Na Kuna Upuuzi Na Uzembe Mkubwa Unaofanyika Humo ILA Nyie Kwakuwa Mmekuzwa Ki BRN Hamwezi Kutambua Kitu. Ingekuwa Ni Nchi Zenye Ueledi Na Nidhamu Ya Kazi Kwa Tukio Hili Tu Mkuu Wa TISS Na Hata Wa Jeshi La Polisi Wangewajibika Kwa Uzembe Ambao Kama Idara Zao Zingekuwa Makini Yaliyotokea Amboni Kamwe Yasingejiri Na Bado Wanapeta Tu Huku Watanzania Wakitaabika Huko Tanga.
Askali wanavuna walicho panda. Kila wapinzani wakitaka kuandamana wanapigwa as if kuna kosa kubwa wamefanya. Siku zote jeshi la polisi limekuwa likionea wananchi kwa kuwapiga bila sababu. Hasira zilivyo jengwa baina ya polisi na raia siwezi kutoa taarifa yoyote kwa kuwa wametufanya raia tuone askali kuwa ni adui. Sasa nikiona hao wawe ama majambazi au magaidi, naona raha kwamba sasa tuone mchuano halisi.
Hebu fikiria wananchi bila silaha wanaandamana wanapigwa kama vile ni makundi ya Islamic state Vs America
Sasa tunapo ona hao wa Tanga wanafanya vitu vyao dhidi ya polisi nasi tunafurahi kwamba angalau wamepata size yao.
Kama kuna ukweli kwanini hawaruhusu wana habari kwenda direct kuwaona hao majeruhi?
Kuna mwenye Picha yake tujue anafananaje? Ngoja tusubiri jioni kwenye Taarifa za Habari!!
Hakuna hata picha ya tukio la mazishi?ili niamini tajeni hapa namba yake na picha nione.lkn ngoja niendelee kutafuta ukweli,maana moja ya msema kweli jeshini kuna kitu kinaitwa Part one order,kama imesoma basi nitakubali,lkn mpaka isome na chazo cha kifo.
Nitarudi baadae.