Askari wa Israel wavua magwanda,wakimbia wakiacha wenzao waungue kwenye kifaru

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,191
10,925
Katika hali ya kuzimwa data na umeme Gaza kuna mengi tunayokosa kuyaona.Hata hivyo machache yanayovuja kwa shida inaonesha vita huko ni kali kuliko ule ukali uliotarajiwa na jeshi la IDF.

Mara kadhaa jeshi hilo limeshatangaza kuingia katikati ya Gaza lakini baadae ikaonesha kuwa bado wako pembeni kabisa wakitumia makombora ya kutoka kwenye ndege zao za kisasa.

Katika moja ya vidio zilizotolewa kwa shida na wapiganaji wa Hamas imeonesha kifaru cha Israel kikiripuka baada ya kupigwa na silaha hafifu.

Baada ya hapo mmoja wa waendeshaji kifaru hicho akachomoka kwa nyuma huku akivua magwanda yake na kukimbia akiwaacha waenzake waungue ndani ya kifaru hicho.

Pembeni ya kifaru hicho vipo vyengine kadhaa vilivyotelekezwa baada ya ama kuharibiwa au askari wake kuamua kuviacha tu na kukimbia.

 
Ndio maana tumesema, Lazima Vita hii iendelee, Tutahakikisha sisi wanaIsrael, GAZA haikaliwi Tena na HAMAS.

Hatutasimamisha vita, Uwezo tunao, nguvu tunazo, na Hari tunayo.


Tutawapiga na hamna mtu wa kutufanya kitu, lazima GAZA tuisafishe. .
Hamtaweza kupigana na Mwenyezi Mungu.Hata kama mna ari basi ari yenu ndiyo itakayowaangamiza.
 
Hamtaweza kupigana na Mwenyezi Mungu.Hata kama mna ari basi ari yenu ndiyo itakayowaangamiza.
Israel ,Taifa Teule la Mungu, liliwah kufutika katika Ramani ya Dunia Kisha likarudi.


Taifa hili ninkielelezo Cha Mungu, yaan ukitaka kujua kua Mungu yupo, unaitazama Israel Ile iloandikwa kwenye maandiko matakatifu ndo hiii hii Sasa
Tutawapiga tuu ,no way !!!
 
Du! Huyo mwanajeshi ni kiboko. Hivi ule mlipuko wa kwanza haukuwa na joto kali kweli? Mana jamaa katoka mbio, kama vile hajapata chochote ndani ya kifaru.

Halafu hivi kitengo cha kifaru si ndio huwa hatari sana mana unakuwa umo ndani, watu wakikuotea wanapanda juu wanarusha bomu humo humo.
 
J
Screenshot_20231111-093659.jpg
 
Back
Top Bottom