Askari usalama barabarani tumieni busara

Askari usalama barabarani tumieni busara

Haji Mashaka Nassoro

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2021
Posts
384
Reaction score
851
Dereva ame-over speed 55kph badala ya 50kph unampiga cheti kisa hajakupa ya ku-brush viatu hiyo ni laana ndomana mki-retire hamchelewi kuvuta box.
Screenshot_20240507-125027.jpg
 
Bora mimi jana nilipigwa 100km/hr kihalali kabisa. Nilitoa bila kinyongo. Nikawapa pia buku 10 wakagawane kama pole kwa kazi
 
Back
Top Bottom